Baada ya Date Kadhaa Unaanzaje kuomba game??

Baada ya Date Kadhaa Unaanzaje kuomba game??

Kupewa mzigo mara ya kwanza mara nyingi ndio issue inahitaji kua mjanja vinginevyo utapigwa calendar...hence una andaa mazingira mapema. Huko mbeleni sasa ndio inakua makubaliano na mara nyingi kama mtoto ulim shughulikia vizuri hachomoi wala nn. Utakula utakinai mwenyewe. Kaka we domo zege nn ?? Vitu vingine hufundishwi man ni wewe na maujanja yako tu hakuna formular ilio rasmi ina depend na dem mwenyewe.

Haya bwana....
 
Me nakumbuka demu wangu yeye ndo alianza kuniomba game, wakati nawaza huyu mtoto mayb after 2 month ndo naweza kuanza kuleta swagger za kutaka mambo, Yeye akani suprise... I like that dem mwenye confidence za ivo sio kujishaua staki nataka, hata leo akitaka mambo ananiambia kabisa "baby nina genye nimekumiss mme wangu" i like that hehee...
 
Hehehe...kutongoza kaweza lakini gemu kashindwa kuzeveza:A S 39:

Mwendhio ni bikra wa kiume.......richa ya kuwadha kuomba, lakini pia anawadha kunyimwa.....richa ya kuwadha kunyimwa lakini pia anawadha kubolonga!

Muonyeshe njia mdogo wako patna!
 
He? Baada ya date kadhaa? What a waste of time!
 
Chukua condom zako kadhaa different flavours weka juu ya meza ama dashboard kisha muulize 'What's yo flava?'
So simple! No protocols no formula and certainly no boring us here!
 
Peleka ghetto weka video za x halafu kaa karibu yake..hee atakamata babu yeye mwenyewe
 
Mwendhio ni bikra wa kiume.......richa ya kuwadha kuomba, lakini pia anawadha kunyimwa.....richa ya kuwadha kunyimwa lakini pia anawadha kubolonga!

Muonyeshe njia mdogo wako patna!

Mmh patna miye darasa langu la twisheni lishajaa, labda asubiri hadi mwakani tenaaaaa!!!
 
Ndugu wadau naona kuna mada nyingi sana za watu kupeana tips za kutongoza, kumu impress mtu na eventually tips za date nk
mada hii inajikita baada ya kuwa mmefanya date kadhaa mbili tatu ivi au more na mshajuana kwa mda kidogo, ktk mda wote huo mko karibu na mna date obvious kuogopa asikuone unamtaman tu hujaweka issue ya kuomba game wala kuzungumzia!!

sasa inapofika mda unaona unataka uombe the ultimate aim ya kua naye yaana game kwenye 6X6 unaanzaje ktk manner ya kistaarabu sana ili asiwe na ile dhana ya kwamba unamtaman tu kwamba akikupa utakimbia na mwisho wa siku upate????

Unamwambia tu NATAKA NIKUBAKE KWA HIARI YAKO
 
Waambieni wadogo zenu waache stori za vijiweni.

Wa namna hii wengi wanachokijua hapo ni zile swagga za....."unajua ma beibe pale kati nini mi nimemaindi kinoma (then analamba lips).....So kama vipi we nipe tunda nijisikie heaven!!!" teh teh

Aaaargh!!! So irritating...

hahahaha...daaah this truly sounds like a personal experince thats how i see it...ila nimecheka sana...ushawahi ambiwa hivyo nin mkuu!!
 
Chukua condom zako kadhaa different flavours weka juu ya meza ama dashboard kisha muulize 'What's yo flava?'
So simple! No protocols no formula and certainly no boring us here!

hii imetulia!!! lakini akishachagua so what next???
 
hahahaha...daaah this truly sounds like a personal experince thats how i see it...ila nimecheka sana...ushawahi ambiwa hivyo nin mkuu!!

No personal experience hapo!
Kwani we huijui dot com?? Yaani ile mistari ya kwenye bongo fleva ndo vijana wenzenu wanaitumia!

We jichanganye nao ndo utaona vioja zaidi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom