Baada ya Darasa, naona Harmo-Rappa pia ana mhusu Kiba.

yolk

Senior Member
Jan 29, 2017
137
240
Habari zenu wakuu.. (maana humu kila mtu ni mkuu)

Yule hit-maker wa Muziki, Darasa, alifanya vizuri sana na huo wimbo kiasi kwamba akapata "rate" kubwa ya viewers youtube (many viewers in a week) kuliko hata Salome ya Diamond.

Ilionekana mashabiki wengi wa Ali Kiba kunadi Darasa wakiwa wanamponda Diamond. Na wengine walidiriki hata "kumtukana" Diamond kwa kumlinganisha na Darasa..
Simply, Darasa amejimegea kiasi fulani cha mashabiki wa Ali Kiba.

Sasa naona Harmo-rapa naye baada ya sakata la kufananishwa na nyani, mashabiki wengi wa Ali Kiba walikuja juu na mapovu ya kutosha.
Simply, jamaa ameanza ku-take attention ya mashabiki wa kiba kidogo kidogo..

Sio ajabu siku moja Harmo-rappa kaenda Dodoma na akajaza watu kwenye show kama wale wa Iringa.
 
Uzuri ni kuwa mashabiki wa diamond hawaganyiki wala hawapungui.
Ila wanao mpinga wanafungana breki humo humo.
Japo hamorapa ametibua kidogo hata upokelewaji wa marry you. Ana fujo kweli naye wakishirikiana na Makonda
 
Uzuri ni kuwa mashabiki wa diamond hawaganyiki wala hawapungui.
Ila wanao mpinga wanafungana breki humo humo.
Japo hamorapa ametibua kidogo hata upekelewaji wa marry you. Ana fujo kweli naye wakishirikiana na Makonda
Marry you ni mwanzo wa mission mpya ambayo hakuna msanii wa bongo ambaye ameshawahi kujaribu..
Trust me, hakuna kilichoharibika, huo ni mwanzo kama ilivyokuwa "kamwambie"..
Hawatoweza.
 
Uzuri ni kuwa mashabiki wa diamond hawaganyiki wala hawapungui.
Ila wanao mpinga wanafungana breki humo humo.
Japo hamorapa ametibua kidogo hata upekelewaji wa marry you. Ana fujo kweli naye wakishirikiana na Makonda
Nakumiss miss. Nashangaa valentine's day iko mlangoni halafu umecool
 
Wanachoshindwa kuelewa watu ni kwamba Diamond ana mashabiki wengi sana nje ya nchi. Sasa anatokea mvuta shisha flani amaizing anakuambia Marry you imebuma eti kisa majina ya wauza unga. Kwa hiyo Wakenya, Wanyarwanda, Wamalawi, Waganda etc waache kupata burudani murua kutoka kwa kijana wa Tandale waanze kufuatilia majina ya wauza unga, ili iweje?
 
Acha uongo salome ya diamond ilikula 8M views kwa wiki ya kwanza... Sasa darasa hadi sasa ule wimbo una views ngapi?
 
Back
Top Bottom