jembepori
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 618
- 193
zanzbar kwenyewe wana hoja? waende tu kwenye uchaguzi watandikwe siyo wizi wa kijinga ambao SEIF alikuwa anataka kuingia nao Ikulu
Tata madiba huo ni wimbo wasiopenda kuimbiwa.......yan kunya anye kuku akinyabata tu.......kaharisha........kwao mwiz ni ccm tu wao wakali kamavile wanahaki ya kuiba.....pls wawe wakweli na waache kuwadanganya wananchi ambao hawaelewi kitu.......