Baa zilizopo jirani na Kanisa Katoliki Nkuhungu ni kero kwa kupiga muziki usiku mzima

Hata sasa wapo wanapiga, hawa jamaa huwa wanafungulia mziki sijui wanaenda kulala, si weekend si weekdays, hadi saa tisa kumi usiku bado ni kelele tu.

Viongozi wamefumbia macho.
Mamlaka zichukue hatua. Wasilee hizi noise pollution zinazozagaa ovyo ovyo!!!!

Shuhuda huyu hapa, kuwa sasa hivi jamaa wanaporomosha sebene za nguvu na full muziki fujo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama kanisa linahimiza watu wapige maji ila wasizidishe wewe unatakaje ? Labda kanisa nikataze kupiga maji waumin tungi kiongozi wa dini tungi sasa huko baa itakuaje ?si ndio majanga matupu
 
Tumeambiwa tukosoe kwa kushauri way-foward bila kuudhi, nami natekeleza.

Najua humu jamvini wenye wajibu wa kusimamia suala hili wataona/watasoma na kuchukua hatua.

Hii ni Tanzania yetu sote, hata ingekuwa Mbeya, Mwanza, Arusha n.k nisingenyamazia mikelele hiyo ningesema tu.

Na hii tabia ya mikelele karibu ipo sehemu nyingi nchini.

Kazi iendelee!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaishi karibu na kanisa la walokole nikiongea watu watahisi mie ni mshirikina au ni muislam Ila ni KKKT damu lakini hii kero ninayoipata hapa Mungu atanijalia nimalize nyumba nyingine nihame tu.

Walokole ni tatizo, wamekosa kwenda disco sasa wanageuza kanisa kuwa discotheque, buzuki linapigwa mpaka saa tisa na nusu ndio wanazima kuanzia jumanne mpaka ijumaa.

Inafika pahala unajisemea hata ningekuwa siamini kwenye ukristo kwa hii kero si wangeongeza chuki au kutotaka kusikiliza maana muda ambao binadamu wa kawaida anapaswa alale wao ndio wanagonga magitaa kwa sauti kama concerts na base ya kufa mtu kanisa hawaweki sound proof au kutumia Karaoke machines.
 
Kuna mibaa dizaini hiyo banana pale ni kelele mwanzo mwisho,usikanyage pale km unataka kuongea na mtu
 
Back
Top Bottom