The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,068
- Thread starter
- #41
Maeneo ya Mwenge, kinondoni kwenda huko Bunju ni mwenyeji kidogo. Fyatanga napafaham sana toka longi sana. Pale mbuzi choma sio mchezo.Kaka njoo bar moja tegeta inaitwa KB BAR OPPOSITE NA KIBO COMPLEX utaenjoo watoto, msosi na mziki mzito ukiongzwa na DJ chikawe. Karibu sana tukitoka hapo nakupeleka sehemu moja inaitwa Fyatanga maeneo ya boko ukale mbuzi choma hatari .
KB napafaham ila sijawahi kula hapo mkuu kwa kusema ukweli. Ntajitahidi jumamosi hii ntakula hapo msosi kwa ushauri wako ingawa nilishakata tamaa kula maeneo hayo.
Shukran mkuu.