The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,436
- 17,080
Nimekua nikisikia kua Tabata ndio kuna bata, basi siku za hivi karbuni nikawa na mambo yangu maeneo hayo.
Pia nikaamua kufanya utafiti usio rasmi kuhusu ubora wa misosi ya hizo bar. Kwa mfano 4040 pub, misosi ya hovyo sana.
Siku ya kwanza niliagiza ugali na makange ya kuku wa kienyeji. Msosi ulipokuja nyama ikawa na ladha chachu, nikauliza kama ni ya jana yake, nikaambiwa hapana ni ya siku hiyo.
Siku ya pili nikaagiza makange ya mbuzi, nikaletewa, nyama ina ladha ya uchachu, nikamuita mhudumu akashindwa kunipa majibu, nikaita mpishi akasema nyama haina tatizo labda tatizo liko kwenye nyanya, maana wanatumia nyanya za kopo.
Baada ya kuniambia kua wanatumia nyanya za kopo hata ham ya kula ikaniishia, nikalipa nikaendelea na mambo yangu. Binafsi hapa Bongo siwezi kula vitu vya kopo, bado tuna vitu fresh vingi sana. Nyanya fresh zinaoza Buguruni au Kariakoo sokoni alafu mtu unapikia nyanya za kopo?
Binafsi nikahitimisha kua Bar za Tabata kwa ubora wa misosi bado sana, bado hawajafikia misosi tunayokula Bar za mwenge au Kinondoni.
Kwa upande mwingine hata yale mambo yetu, watoto ni wa kawaida sana. Mimi nikienda bar naangalia misosi na totozi mara moja moja tu maana sinyi pombe na sijawahi kunywa na sina mpango wa kunywa.
Pia nikaamua kufanya utafiti usio rasmi kuhusu ubora wa misosi ya hizo bar. Kwa mfano 4040 pub, misosi ya hovyo sana.
Siku ya kwanza niliagiza ugali na makange ya kuku wa kienyeji. Msosi ulipokuja nyama ikawa na ladha chachu, nikauliza kama ni ya jana yake, nikaambiwa hapana ni ya siku hiyo.
Siku ya pili nikaagiza makange ya mbuzi, nikaletewa, nyama ina ladha ya uchachu, nikamuita mhudumu akashindwa kunipa majibu, nikaita mpishi akasema nyama haina tatizo labda tatizo liko kwenye nyanya, maana wanatumia nyanya za kopo.
Baada ya kuniambia kua wanatumia nyanya za kopo hata ham ya kula ikaniishia, nikalipa nikaendelea na mambo yangu. Binafsi hapa Bongo siwezi kula vitu vya kopo, bado tuna vitu fresh vingi sana. Nyanya fresh zinaoza Buguruni au Kariakoo sokoni alafu mtu unapikia nyanya za kopo?
Binafsi nikahitimisha kua Bar za Tabata kwa ubora wa misosi bado sana, bado hawajafikia misosi tunayokula Bar za mwenge au Kinondoni.
Kwa upande mwingine hata yale mambo yetu, watoto ni wa kawaida sana. Mimi nikienda bar naangalia misosi na totozi mara moja moja tu maana sinyi pombe na sijawahi kunywa na sina mpango wa kunywa.