Mad Scientist
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 215
- 77
Kwa anaezijua vizuri hizi kozi za pale udsm ziko vipi hali yake pamoja na ajira kwa ujumla.
Kwa anaezijua vizuri hizi kozi za pale udsm ziko vipi hali yake pamoja na ajira kwa ujumla.
Kwa Botanical scince, jiandae kuwa mtunza bustani katikati ya jiji, manispaa na wilaya...zinaitwaga Botanical Gardens
Daa kwenye ajira kaka hizo kozi ni tatizo sana unaweza ukajikuta unazunguka mtaani mpk utajutia kwann usiende education,,,nakushaur kabadili coz nenda education au fanya ata ukasome clinical officer mm ni mhanga wa botany tuko na best angu wa bsc general tunakula laki kwa mwez tempo yaan daah ni shida