Ndio alikuja tena walikuwa na BEYONCE walikuja hadi MWANANYAMALA kisiwani wakashiriki kufungua mradi wa maji salamaKumbe jigga ashawahigi kuja bongo[emoji16][emoji16]
Umetisha sana hii ngja nikawape kijweni kwanza nkawape madini vijana watoto wadogoooooooooooooNdio alikuja tena walikuwa na BEYONCE walikuja hadi MWANANYAMALA kisiwani wakashiriki kufungua mradi wa maji salama
Ila haikuwa kwenye FIESTA walikuja na NG'O walizokuwa wanazifadhili kama mabalozi
View attachment 2664830View attachment 2664831View attachment 2664832
50 Cent na Ja Rule hawajawahi kuja Bongo. Jay Z hakuja kwa ajili ya Fiesta. Aliletwa na Vodacom kwa shughuli za kijamii. Kina Joe wakachomekea concert.Ni vibe la hela yote, ni shangwe za volume yote, ni cheers za glasi zote kwa Mashabiki, Wafuasi na Wa-Cloudsnia wote ndani na nje ya Tanzania leo baada ya Mfalme wa show za mchana Mtangazaji Hamisi Mandi maarufu kama B Dozen, B12, B Twangala kutangaza kurejea rasmi Clouds Media Group baada ya kuwa nje kwa miaka mitatu.
Clouds Media Group imethibitisha taarifa za kurejea kwa kiungo huyu muhimu na Mkongwe ambaye kipaji chake, ubunifu wake na umahiri wake vina mchango mkubwa sana kwenye media hii na sasa ni rasmi anarudi kuanzia alipoishia kwenye show yake ya siku zote ya XXL kuanzia Jumatatu May 26 2023.
Mkali huyu ambaye mwezi huu wa June anatimiza miaka 20 toka aanze kufanya kazi ya utangazaji kwenye Radio, aliondoka @CloudsFMTZ tarehe 31 May 2020 na kujiunga na EFM kabla ya kurejea rasmi hii leo ikiwa ni miaka mitatu baadaye.
B Twangala alianzia kutangaza Redioni CloudFM Arusha mwaka 2003 akiwa Mwanafunzi wa Sekondari Arusha Sec. huku akifanya kipindi cha DR. BEAT ( saa nane mchana hadi saa kumi) na ni miongoni mwa Waasisi wa show ya XXL ambayo ilianzishwa mwaka 2007 (saa 7 hadi 10 jioni).
Umahiri wa @Bdozen haupo tu kwenye Radio bali hata nje ya Radio ambako ameshiriki ku-host Matamasha mbalimbali ya FIESTA ambako Mastaa wa muziki duniani kama Jay Z, Busta Rymes, Fat Joe, 50 Cent, Ja Rule, Eve, Ludacris na wengine wali-perform.
50 cent alishawahi kuja tena alikujana crew nzima ya G UNIT kwa udhamini wa TIGO kama sikosei mwaka 2008 na alipeform fresh tu mkuu ila aikuwa kwenye Fiesta50 Cent na Ja Rule hawajawahi kuja Bongo. Jay Z hakuja kwa ajili ya Fiesta. Aliletwa na Vodacom kwa shughuli za kijamii. Kina Joe wakachomekea concert.
50 Cent alikuja Bongo na alipiga show ya kibabe kwa udhamini wa TIGO, 2018 kama sikosei mwezi wa 5 au wa 750 Cent na Ja Rule hawajawahi kuja Bongo. Jay Z hakuja kwa ajili ya Fiesta. Aliletwa na Vodacom kwa shughuli za kijamii. Kina Joe wakachomekea concert.
2008 hivi, sambamba na Lloyd50 Cent alikuja Bongo na alipiga show ya kibabe kwa udhamini wa TIGO, 2018 kama sikosei mwezi wa 5 au wa 7
Kipindi hicho Coca na Fanta ndo zilikuwa habari ya mjiniNdio alikuja tena walikuwa na BEYONCE walikuja hadi MWANANYAMALA kisiwani wakashiriki kufungua mradi wa maji salama
Ila haikuwa kwenye FIESTA walikuja na NG'O walizokuwa wanazifadhili kama mabalozi
View attachment 2664830View attachment 2664831View attachment 2664832
50 Cent na Ja Rule hawajawahi kuja Bongo. Jay Z hakuja kwa ajili ya Fiesta. Aliletwa na Vodacom kwa shughuli za kijamii. Kina Joe wakachomekea concert.
50 Cent na Ja Rule hawajawahi kuja Bongo. Jay Z hakuja kwa ajili ya Fiesta. Aliletwa na Vodacom kwa shughuli za kijamii. Kina Joe wakachomekea concert.
exactly50 cent alishawahi kuja tena alikujana crew nzima ya G UNIT kwa udhamini wa TIGO kama sikosei mwaka 2008 na alipeform fresh tu mkuu ila aikuwa kwenye Fiesta
nitakuletea VIDEO akiperforme stejini na kundi zima la G UNIT
kipindi totoz hazina UTI