Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Picha mbalimbali zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha mwanaume huyo akiwa amesimama kwenye mstari kwa ajili ya ukaguzi na nyingine akihojiwa na maafisa wa usalama katika uwanja huo
Wengine walisema kuwa ni muogeleaji ambapo wakati mwingine hufanya hivyo (Kutembea au kusafiri na nguo za kuogelea) ili kuchangisha fedha za kusaidia watu wenye matatizo hasa watoto