Aziz Ki, baada ya Haji Manara kumalizwa na kausha damu, na wewe jipange, huna muda

Aziz Ki, baada ya Haji Manara kumalizwa na kausha damu, na wewe jipange, huna muda

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
20,725
Reaction score
31,305
Ni dhahiri kwamba kwa sasa Haji Manara fedha imekata. Keller zoote,lakini msingi wake hela hakuna.

Ally Kamwe na yeye amekaba balaa, aisee wapare wana unga wa miti na makopera. Tutamaliza makafara ya mbuzi na kondoo za Dar kwa ajili ya huyu dogo. Ni mkavu kama mwili wake. Dogo hachimbwi dawa

Sasa Aziz Ki jipange, maana na wewe una kausha damu lako ambalo ulifanyiwa udalali na Haji. Usije kutulilia hapa.

. N. B:

Haji alijenga kibanda hata chumba na sebule?Fame is gone
 
Ni dhahiri kwamba kwa sasa Haji Manara fedha imekata. Keller zoote,lakini msingi wake hela hakuna.

Ally Kamwe na yeye amekaba balaa, aisee wapare wana unga wa miti na makopera.

Sasa Aziz Ki jipange, maana na wewe una kausha damu lako ambalo ulifanyiwa udalali na Haji. Usije kutulilia hapa.

. N. B:

Haji alijenga kibanda hata chumba na sebule?
Wachawi mmetega masikio vyumbani kwa watu, shenzi kabisa nyie
 
Back
Top Bottom