Nakisoma hichi kitabu ambacho kila mwanasiasa hasa wa ccm na chadema hupenda kuki-refer naona kichefuchefu nafikiri kuna haja ya kuipinga kwa nguvu zote ili isiendelee kupotosha vijana wetu kwani ina endekeza yafuatayo:-
a. Dhana ya usawa ambayo maana yake ni kumnyang'anya binadamu mwingine nyumba yake (case of msajili wa nyumba), watu walikopa na ku-save kujenga nyumba lakini ananyang'anywa ili awe sawa na wegine?? nonsense; wenyeji wazalendo wenye mashamba wananyang'anyi na kila moja kupewa ekari tano tu (case study of vijiji vya ujamaa kote nchini); vijiji vingi vimejengwa katika mashamba wenyeji ambao wameng'oa magogo kwa nguvu zao hivyo kuwafanya wenyeji wenye uwezo kuwa maskini kama wenzao..
-dhana hii imesababisha hata serikali kurithi tabia hii ya unyang'anya iliyotokana na arusha declaration mfano kuuza nyumba za umma kwa watu binafsi..
- dhana mbaya pia imesababisha hata serikali kurithi tabia ya kuuza na kunyang'anya wachimbaji wadogo wadogo mali na maeneo yao na kuwapa wawaekeji source ni tabia ya kufikiri kuwa serikali inaweza kudhulumu, kunyang'anya mali za watu binafsi na chanzo kikuu ni Arusha declaration ... hii na ni sumu kubwa kwa vijana wetu kuibeba
b. Dhana kwamba kiongozi hatakiwi kuwa na mali, na kuwa na mali ni disqualification ya kuwa kiongozi ni dhana yenye kuendekeza umaskini na ubaguzi. kwasababu si kila Tajiri ni mwizi na si kila maskini si mwizi. uwizi ni tabia na haitokani na uwezo..kuna viongozi wazuri tu wenye mali; ile kuweza kuongoza na kumanage mali ni sehemu ya uzoefu wa kuendesha mambo..
Napendekeza Arusha declaration ibakie kwenye archives kama sera ambayo tuliwahi kuitumia na haifai kutumiwa tena Tanzania; kwani ina upungufu mkubwa sana kwakuwa dhana yenyewe inaendekeza ubaguzi in the name of usawa..
a. Dhana ya usawa ambayo maana yake ni kumnyang'anya binadamu mwingine nyumba yake (case of msajili wa nyumba), watu walikopa na ku-save kujenga nyumba lakini ananyang'anywa ili awe sawa na wegine?? nonsense; wenyeji wazalendo wenye mashamba wananyang'anyi na kila moja kupewa ekari tano tu (case study of vijiji vya ujamaa kote nchini); vijiji vingi vimejengwa katika mashamba wenyeji ambao wameng'oa magogo kwa nguvu zao hivyo kuwafanya wenyeji wenye uwezo kuwa maskini kama wenzao..
-dhana hii imesababisha hata serikali kurithi tabia hii ya unyang'anya iliyotokana na arusha declaration mfano kuuza nyumba za umma kwa watu binafsi..
- dhana mbaya pia imesababisha hata serikali kurithi tabia ya kuuza na kunyang'anya wachimbaji wadogo wadogo mali na maeneo yao na kuwapa wawaekeji source ni tabia ya kufikiri kuwa serikali inaweza kudhulumu, kunyang'anya mali za watu binafsi na chanzo kikuu ni Arusha declaration ... hii na ni sumu kubwa kwa vijana wetu kuibeba
b. Dhana kwamba kiongozi hatakiwi kuwa na mali, na kuwa na mali ni disqualification ya kuwa kiongozi ni dhana yenye kuendekeza umaskini na ubaguzi. kwasababu si kila Tajiri ni mwizi na si kila maskini si mwizi. uwizi ni tabia na haitokani na uwezo..kuna viongozi wazuri tu wenye mali; ile kuweza kuongoza na kumanage mali ni sehemu ya uzoefu wa kuendesha mambo..
Napendekeza Arusha declaration ibakie kwenye archives kama sera ambayo tuliwahi kuitumia na haifai kutumiwa tena Tanzania; kwani ina upungufu mkubwa sana kwakuwa dhana yenyewe inaendekeza ubaguzi in the name of usawa..