Azikwa akiwa hai Mbeya

inatisha,hivi mtu unahakikishaje kuwa fulani ni mchawi kiasi cha kuamua kumuua?mi nahisi wengi wanauliwa bila hatia.

kwa hakika hiyo ni kweli. k
Kama vile wanaouawa mitaani kwa kushukiwa kuwa wezi - wengine huwa hawana hatia lakini wanatiwa kiberiti.
 
kuna watu wataalamu wakuona hao wachawi, wanaitwa lifumu

kwa hiyo lifumu akisema Ukweli mtupu ni mchawi basi lazima tumuamini tu,sijui lifumu ni nani ila nahisi ndo kama wale tu waliokua wakisema mtoto sijui akizaliwa katanguliza miguu au mtoto akianza kuota meno upande fulani eti hafai auliwe.Sina imani na lifumu,watu wa aina hii ndo wanaosababisha mauaji ya kinyamba kinyama tu serikali inatakiwa kuwadhibiti.
 
Last edited by a moderator:
Embu fafanua ilikuwaje kisa hicho? Na nani wanyama hao? Kuna uhusiano na mambo ya kishirikina?
 

mkuu shakupata vizuri,. Ila hujaishi mbeya hata mie naogopa kwenda mbeya mwaka wa2 make huwezi fanya vitu vya maendeleo hata kujenga nyumba sababu ya wachawi kuogopa,. Wache wanambeya wafanye mambo yao kwa maendeleo yao
 
Last edited by a moderator:
Watanzania kama tuna hasira hivyo kwanini tusiwashugulikie mafisadi? wanaojilimbikizia mali huku mamilioni ya watu wanataabika na umaskini.
 
mnaounga mkono mnakosea jamani tukumbuke sisi sote binadamu ni wakosaji hakuna aliyemsafi, uchawi upo na kweli umekuwa ni kero Mbeya na hasa hii ni kutokana na kupakana na wazambia. nimeishi kule jamaa ni wachawi sana na haya ya kuchunana ngozi na mengineyo yanayotokea mbeya yanakuwa adopted kutoka huko. kikubwa huyo adhabu yake angeambiwa kwanza amrudishe mtoto na pili apewe adhabu tofauti na hiyo kama ni kweli. tusitafune maneno na kujifanya hatujui uwepo wa uchawi.
 
jamani kila mwanadamu ni mkosaji hivyo kabla ya kumuhukumu mwenzio jiangalie wewe kwanza. mi cku hizi naogopa kumuhukumu mwenzangu maana mi mwenyeme nna midhambi yangu kibao.
 
Inasikitisha! Kwanini matukio ya ajabu yote yanaanyia mbeya? RIP mr Nyerere.
 


[TD="bgcolor: #ffffff"]
Hili ni tukio liomefanywa na binadamu kweli au unatuletea habari za kututania hapa? Jamani mbeya watu wa Mungu hawa wanakuwaje siku hizi madhehebu yote hayo?
[/TD]
[TD="width: 140, bgcolor: #ffffff"][/TD]
 
Nadhani muda muafaka wa serikali kuunda sheria ya uchawi maana kuendelea kukataa kuwa serikali haitambui uchawi ni uongo na wengi watakufa na wengine huenda ni muhimu katika jamii yao na wanaleta manufaa katika jamii zao
Nashauri wasajiliwe kuliko kukana kuwa haupo hali wanasiasa wanaenda kupata huduma za kiutawala na maamuzi katika mikutano iliyo ya siri mbon mambo ya Freemanson yapo wazi na anayetaka kujiunga anaruhusiwa?
Nashauri pia waelimishwe kuutumia kwa manufaa bora wazungu tunatumia sayansi yao kwanini ya kwetu isitambuliwe
Nafikiri watu washauriwe na wajitokeze kila mmoja na nguvu zake na aambiwe yeye anaweza kufanyia nini nchi hii ikapata
faida na uchawi wake badala ya kinachoendelea cha kuwaua kikatili
Na watu wa haki za binadamu wako wapi? maana mtu anaonesha ujuzi wake hawamtetei na kumtangaza!
Pawepo utaratibu na si ajabu kwani hamsoni habari za Firauni?Farao na Mtume Musa? Mbona hapakuwepo na madhara baada ya wao kuwa wanajumuishwa katika utawala
Wengine wanauwezo wa kuzuia mvua/kuleta mvua na kuleta ndege (Queleaquelea), kuleta maradhi, kuua na kufufua kwa mazingaumbwe/ kuondoa mguu na kuuficha,kuuondoa uume na kuuficha, kuzuia uzazi mwanamke asizae, kuharibu nyumba kwa upepo, kuchukua mazao ya wenzake nk
Huenda tungepunguza matumizi ya dawa za uzazi za mpango, gharama za mvua kama za Lowasa, kupunguza gharama za kuua ndege, maradhi, gharama za opereshaji ya uzazi na
 
Wewe ni NANI na hata uamue kumuua binadamu mwenzako HATA KAMA KAKOSEA, hata kama ni mchawi, mwizi, fisadi nk. Watu wanaodiriki kuua au kutamani binadamu mwenzake afe ni hatari sana kwa Tz yetu. RIP Nyerere!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…