Jaman kwa anayefahamu kilipo chuo hichi hapa DSM naomba anielekeze sababu nina shida ya kutaka kufka hapo nkachukue admission letter plz plz naombeni msaada kwa hlo...
wanatoa certificate na diploma ya law,certificate na diploma ya usimamizi wa biashara na certificate na diploma ya uhasibu...pia kuna masomo ya jioni@nderima