CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 922
- 2,793
Mtoa Mada/mlalamikaji, Watetezi/wapingaji & Mlalamikiwa Wote HAMNA AKILI.
Rubish.
Rubish.
acha uongo wewe,azam haina udini,kwanza hivi wewe huoni watangaji wa azam,wenye majina kikisto ni wengi,viongozi wakuu wa azam wakristo wapo,acha kusingizia vituAzam TV acheni udini katika vipindi vyenu kwenye channel zinazomilikiwa Azam kama vile Azam Two
Fanyeni biashara na wekeni udini pembeni. Matangazo ya Christmas mliyafinya mkayweka nyuma tukatazama tukanyamaza imefika Ramadhani kila tangazo ni ramadhani utadhani wote walionunua au kumiliki kin'gamuzi cha azam ni waislamu.
Kuna story niliwahi kuzisikia kwamba ni nadra sana kupata kazi katika makampuni ya Azamu kama sio muislam. ACHENI MARA MOJA UDINI, MMEKUWA WADINI MPAKA INAKERA.
wakristo susieni bidhaa zakeAzam TV acheni udini katika vipindi vyenu kwenye channel zinazomilikiwa Azam kama vile Azam Two
Fanyeni biashara na wekeni udini pembeni. Matangazo ya Christmas mliyafinya mkayweka nyuma tukatazama tukanyamaza imefika Ramadhani kila tangazo ni ramadhani utadhani wote walionunua au kumiliki kin'gamuzi cha azam ni waislamu.
Kuna story niliwahi kuzisikia kwamba ni nadra sana kupata kazi katika makampuni ya Azamu kama sio muislam. ACHENI MARA MOJA UDINI, MMEKUWA WADINI MPAKA INAKERA.
Wee haujui hata kufananisha, Redio Maria ni mali ya kanisa kwa ajili ua kanisa na haulipii kuisikiliza, Azam si mali ya msikiti ni biashara ya kulipia na haihusiani na msikiti wa dini, pia unapolipia unatarajia kukipata ulichoahidiwa na si cha kidini au chama fulani cha kisiasa, hivyo linapotokea jambo kinyume na mkataba ambao ni malipo unahaki kulalamika, tatizo ni pale TCRA inaposhindwa kusimamia maudhui.Redio maria huwezi skia mambo ya ramadhani kila moja abebe msalaba wake
SahihiAzam sio ya kidini, lakini pia niyamtu binafsi humpangii aonyeshe nini, jambo lamsingi akionyesha usichopenda unasusia tu, mbona Clouds Radio na nduguye Wasafi wanapendelea CCM badala yakuonyesha usawa nakwavyama vingine?.
Kwani Azam anapewa Ruzuku naserikali?.
Binafsi sijawahi kuona mfanyakazi wa Bakhressa akawa mkristo, mdini sana yule mzee japo namkubali, alafu serikali inaona na inakaa kimya.Azam TV acheni udini katika vipindi vyenu kwenye channel zinazomilikiwa Azam kama vile Azam Two
Fanyeni biashara na wekeni udini pembeni. Matangazo ya Christmas mliyafinya mkayweka nyuma tukatazama tukanyamaza imefika Ramadhani kila tangazo ni ramadhani utadhani wote walionunua au kumiliki kin'gamuzi cha azam ni waislamu.
Kuna story niliwahi kuzisikia kwamba ni nadra sana kupata kazi katika makampuni ya Azamu kama sio muislam. ACHENI MARA MOJA UDINI, MMEKUWA WADINI MPAKA INAKERA.
"Kabla ya kulalamika utuambie una elimu gani? Na una miliki nini? Una dhahabu? " vijana someni hakuna shortcut ya maishaAzam TV acheni udini katika vipindi vyenu kwenye channel zinazomilikiwa Azam kama vile Azam Two
Fanyeni biashara na wekeni udini pembeni. Matangazo ya Christmas mliyafinya mkayweka nyuma tukatazama tukanyamaza imefika Ramadhani kila tangazo ni ramadhani utadhani wote walionunua au kumiliki kin'gamuzi cha azam ni waislamu.
Kuna story niliwahi kuzisikia kwamba ni nadra sana kupata kazi katika makampuni ya Azamu kama sio muislam. ACHENI MARA MOJA UDINI, MMEKUWA WADINI MPAKA INAKERA.
Umemjibu kisomi sana haelewi Redio maria haipo kibiashara lakin Azam tv ipo kibiasharaRedio Maria inamilikiwa na Catholic Church.
Azam TV & Radio ni mali za mfanyabiashara anayetakiwa kuzingatia masuala ya dini kwa usawa.
Tofautisha + na - over na underRedio maria huwezi skia mambo ya ramadhani kila moja abebe msalaba wake
Fuatilia vizuri. Waajiriwa Wakristo wamejaa tele kwenye makampuni ya Bakhressa group. SSB angekuwa mdini sidhani kama angefika kiwango alichofika.Binafsi sijawahi kuona mfanyakazi wa Bakhressa akawa mkristo, mdini sana yule mzee japo namkubali, alafu serikali inaona na inakaa kimya.
WEwe ndio mbaguzi na kinachowasumbua ni chuki tu kisa mwenyewe ni muislamu hakuna kingine, bora mungu abaki hivyo hivyo asionekane maana kuna watu walalamishi mngemsumbua kila siku kwa mambo ya kijingaMajibu ya kina Khadija Kopa haya! Na kama mtu hapendi wakristo ahamie Saudi Arabia au Afghanistan, hii ni nchi ya watu wa dini zote na wasio na dini. Azam iliomba kutoa huduma kwa watz wote lazma iache ubaguzi ndiyo sheria za nchi.
Unasusia biashara yake, au susieni mbona Radio zauma tunazolipia Kodi zetu kulipa mishahara ya wafanyakazi na uendeshaji wake, nazo zinabagua vyama?. Sembuse Mali binafsi ya mtu?. Eti Leo umpangie Bakharesa aonyeshe nini?. Acha kununua kifurushi .Umemjibu kisomi sana haelewi Redio maria haipo kibiashara lakin Azam tv ipo kibiashara
Mkuu inaonesha hujui maana ya uchumi huria, Kuna vingamuzi vingi nchini hujalazimishwa kutumia Azam, kanunue cha Agape au Ting au star timesAzam TV acheni udini katika vipindi vyenu kwenye channel zinazomilikiwa Azam kama vile Azam Two
Fanyeni biashara na wekeni udini pembeni. Matangazo ya Christmas mliyafinya mkayweka nyuma tukatazama tukanyamaza imefika Ramadhani kila tangazo ni ramadhani utadhani wote walionunua au kumiliki kin'gamuzi cha azam ni waislamu.
Kuna story niliwahi kuzisikia kwamba ni nadra sana kupata kazi katika makampuni ya Azamu kama sio muislam. ACHENI MARA MOJA UDINI, MMEKUWA WADINI MPAKA INAKERA.
Radio Maria ni redio ya kikristu Sawa na Iman n redio ya kiuslamuRedio maria huwezi skia mambo ya ramadhani kila moja abebe msalaba wake
Hayo mambo hayapo Dstv azam tv ndo mdudu gani nisije pofuka macho bure et soka live uku goli likisikika redioni kwenye tv kama sekunde 30 hivi ndo na wenyewe goli linaingiaUnasusia biashara yake, au susieni mbona Radio zauma tunazolipia Kodi zetu kulipa mishahara ya wafanyakazi na uendeshaji wake, nazo zinabagua vyama?. Sembuse Mali binafsi ya mtu?. Eti Leo umpangie Bakharesa aonyeshe nini?. Acha kununua kifurushi .
Ni kweli Azam yuko kibiashara na ndio maana anaweka mahudhui yanayo pendwa na walio wengi na sio kukufurahisha ww.Umemjibu kisomi sana haelewi Redio maria haipo kibiashara lakin Azam tv ipo kibiashara