Azam pesa Ina miaka kama 3 sokoni ila bado haijaweza kupenya kwenye soko la ushindan. Nadhani alitakiwa kuja na laini zake kuliko huu mfumo ambao anaitumia Sasa hivi.
SELCOM kwasasa wamekuja na mfumo wa kibank. Unapakuwa app halafu unafungua akaunti, namba yako ya akaunti ni ile namba ya simu. Nimeona Makato yao ni nafuu, na kitu kizuri waliaza kuboresha mashine zao kupendana na mfumo wa kisasa. Kama watawekeza kwenye matangazo watapata wateja.