Omwami Nshomile
Senior Member
- Jan 26, 2015
- 132
- 28
Azam TV walisema wana aina moja ya kifurushi ambacho cost yake ni Tsh 12500. Leo bila ya taaarifa yoyote wanapandisha kutoka 12500 mpaka 20000.
Nawaomba mrudishe 12500 yangu nkanunue vingamuzi vya elfu 4000
Nawaomba mrudishe 12500 yangu nkanunue vingamuzi vya elfu 4000