Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,270
- 14,216
Habari za midaa hii wajumbe!
Moja kwa moja kwenye mada. AzamTv wanachotufanyia sisi watanzania hakikubaliki. Azam tv ni yetu na ni ya mtanzania mwenzetu lakini wanatunyonya! Watwambie tatizo liko wapi, kama ni serikali tujue, kama ni TCRA tujue, kama ni TOZO tujue, kama ni kodi tujue.
Just imagine kifurushi cha Tsh 25,000/= Uganda wanalipia Ush 13,000/= ambayo ni sawa na Tsh 8,000 hivi na ushee.
Yaaani kutoka kwenye Tsh 25,000/= mpaka 8,000/= what a gape?
Zifuatazo ni link za vifurushi kutoka Azam Tv kwa nchi mbalimbali, ingia linganisha afu twambie kwanini sisi Watanzania kwanini tunatozwa hela nyingi kiasi hiki.
Tanzania
Kenya
Uganda
Moja kwa moja kwenye mada. AzamTv wanachotufanyia sisi watanzania hakikubaliki. Azam tv ni yetu na ni ya mtanzania mwenzetu lakini wanatunyonya! Watwambie tatizo liko wapi, kama ni serikali tujue, kama ni TCRA tujue, kama ni TOZO tujue, kama ni kodi tujue.
Just imagine kifurushi cha Tsh 25,000/= Uganda wanalipia Ush 13,000/= ambayo ni sawa na Tsh 8,000 hivi na ushee.
Yaaani kutoka kwenye Tsh 25,000/= mpaka 8,000/= what a gape?
Zifuatazo ni link za vifurushi kutoka Azam Tv kwa nchi mbalimbali, ingia linganisha afu twambie kwanini sisi Watanzania kwanini tunatozwa hela nyingi kiasi hiki.
Tanzania
Kenya
Uganda