Kama hivi wewe umeshawajuaAzam tv kipindi hiki imekuwa ni zaidi ya chombo cha umma. Hata kama Magu anakwenda Hazina lazima Azam wawepo, nananufaika na lipi? na kwanini TBC isifanye kazi hiyo?
Kusoma makala za MMUmkuu bado unalipia maxmalipo wakati unasim? sasa hapo sim yako inakusaidia tu kuingia jf?