ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,545
Azam wamesahau kua maendeleo hayana dini!
Azam TV ni nini?Sportpesa ni kamali mjue hilo! Ndiyo maana TBL imekuwa ngumu kufanya kazi na azam, azam walisema watajitoa endapo kampuni ya pombe itapewa udhamini.
Kwa hiyo sahau kuona game za sportpesa zikirushwa na azam tv
Azam TV ni nini?
Kanisa au msikiti?
KAMPUNI TANZU YA BAKHRESA GROUP INAENDESHWA KWA MISINGI YA DINI, KWA HIYO SI RAHISI KUINGIA UBIA NA SPORTPESAAzam TV ni nini?
Kanisa au msikiti?
Upo nchi ganiNa mbona wanaonesha lig kuu ilihali
Inadhamniwa Na pombe