balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,505
- 15,123
Nimelipia king'amuzi toka jana channel hazifunguki,namba zenu za simu hazipokelewi.Mna nini?
🤓😎Pole kwa changamoto iliyo jitokeza. Utapata huduma wiki ijayo
Uswahili kazi sanaWana namba ya WhatApp huwa wanajibu kwa wakati ila siikumbuki.
NB:Ukilipia huku kifurushi hakijaisha ukitegemea wataunganisha juu kwa juu huwa wanakata kikiisha cha mwanzo halafu wanajikausha hadi watafutwe.