Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,469
Hivi best wewe uko upande gani?Mimi nilidhani uko na rafiki yako popoma ila kwa hii thread umenichanganya kidogo...
Hata hivyo asante kwa hii habari njema.
Kumbe ndio maana kinondoni nzima umeme umekatika muda huu
View attachment 293472
Lowasa na Sumaye ndo wamesababisha kuwepo na magofu kama haya badala ya viwanda
Na nyie mliokwenda kuwaona Lowasa na Sumaye pale Tanganyika Packers kweli hamjiulizi?Mawaziri wakuu ambao wameshindwa kufufua hicho kiwanda na leo wanaona poa tu kufanyia mikutano hapo,Wakati kiwanda hicho kingepunguza unemployment Tanzania.
View attachment 293472
Lowasa na Sumaye ndo wamesababisha kuwepo na magofu kama haya badala ya viwanda