Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,844
- 6,468
Taarifa kutoka kwa "Wanyetishaji" ni kwamba kituo cha Televisheni cha Azam kinatarajia kurusha matangazo ya mkutano wa Mgombea Urais kupitia Ukawa Edward Lowassa kutoka viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dsm kuanzia saa kumi jioni!
Hutaki Unaacha!
Hutaki Unaacha!