Azam tv kuonesha ligi kuu bara

Azam tv kuonesha ligi kuu bara

Azamtv kuzinduliwa rasmi agosti mosi 2013. Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumamosi,Julai 20,2013.
ngoja nisearch azam tv kwenye king'amuzi changu hapa!!!!!
eti ameshinda tenda hata tv yenyewe ipo kwenye makaratasi???
natamani kuona mtanzania huyu mfanyabiashara mzuri anafanikiwa kwenye hili suala hapa tz.
 
Mmmh!! nina mchanganyiko wa furaha na huzuni kwa hii habari...

Huzuni...
Wachezaji wetu watakuwa wamekosa fursa ya kuonekana nje ya nchi (Hapa nimeandika nikiwa na hisia kuwa coverage ya Azam TV haitakuwa hadi nje ya mipaka ya TZ).

Furaha...
Kama Azam TV ndio wataopewa shavu, basi ligi hii kwa kiasi kikubwa itaweza kuonekana kwa Watanzania wote kwa unafuu zaidi.

Hilo lisikutishe kwani wao wataweza kuziuza rights kwa ma TV mengine na pia wana uwezo wa kurusha kwenye sattelite.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom