Azam TV kuna tatizo gani?

Azam TV kuna tatizo gani?

Matanga

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2019
Posts
2,281
Reaction score
3,988
Wanabodi leo usiku nmeona kitu cha tofauti sana kwenye king'amuzi cha AZAM, picha zinakuwa nyekundu sometimes inakata kunakuwa hakuna mawasiliano vipi wenzangu mmekumbana na kadhia hii kama Mimi?

Maana mwanzoni nilijua tv yangu imeharibika lkn nilipoweka king'amuzi cha DStv na Star times hakukuwa na tatizo, nikaamua niweke flash bado ikapiga bila kuzima naombeni mrejesho toka kwenu wadau kama kuna yeyote kakutana na kadhia hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo linalofanana kidogo na hilo uwa linanitokea kwangu kipindi mawingu mazito ya mvua yanapotanda angani....signal zinapotea au sometimes picha na sauti vinakata ghafla au picha na sauti vina-stuck stuck au mawasiliano yanakatika na kunakuwa hakuna meseji yoyote kwenye screen...

niliwapigia Azam customer care wakaniambia fundi wangu atakuwa hakufanya vizuri installation ya dish hivyo kupelekea signal kuwa weak au inabidi ni-update software ya king'amuzi...

nilipojaribu ku-update kwa kufuata maelekezo yao ikashindikana mwisho wakaniambia nifike ofisini kwao TAZARA na king'amuzi changu wakicheki...bado sijapata nafasi ya kwenda ofisini kwao
 
Tatizo linalofanana kidogo na hilo uwa linanitokea kwangu kipindi mawingu mazito ya mvua yanapotanda angani....signal zinapotea au sometimes picha na sauti vinakata ghafla au picha na sauti vina-stuck stuck au mawasiliano yanakatika na kunakuwa hakuna meseji yoyote kwenye screen...

niliwapigia Azam customer care wakaniambia fundi wangu atakuwa hakufanya vizuri installation ya dish hivyo kupelekea signal kuwa weak au inabidi ni-update software ya king'amuzi...

nilipojaribu ku-update kwa kufuata maelekezo yao ikashindikana mwisho wakaniambia nifike ofisini kwao TAZARA na king'amuzi changu wakicheki...bado sijapata nafasi ya kwenda ofisini kwao
Kwa upande wangu tatizo sii signal bali inajizima na kuwaka pia rangi ya screen hubadirika kuwa nyekundu isitoshe ndani ya screen kunasikika kama kuna mawe yanarukaruka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
samahani kwa usumbufu uliojitokeza!!


kuweni wakweli hamjalipia vifurushi
 
Hivi Azam tv kuna tatizo gani, inakuwaje wengine hatuna channel kama Azam 1&2, sports wala Sinema zetu?
 
Hivi Azam tv kuna tatizo gani, inakuwaje wengine hatuna channel kama Azam 1&2, sports wala Sinema zetu?
Kwangu hakuna channel za watoto.

Tatzo litakua ni signal check Intensity to quality value inatakiwa kuwa 70 kwa 60 resp kwa transponder zao zote nne. Ikiwa pungufu ya hapo kuna baadhi ya channel hutaona.....

Hebu angalia picha hapo chini...
 
Kwangu hakuna channel za watoto.

Tatzo litakua ni signal check Intensity to quality value inatakiwa kuwa 70 kwa 60 resp kwa transponder zao zote nne. Ikiwa pungufu ya hapo kuna baadhi ya channel hutaona.....

Hebu angalia picha hapo chini...
Chief nilifanikiwa, Signal ilikuwa kwenye 76, lakini quality ilikuwa ni 0%, hivyo nikaenda kucheki LNB na kukuta imepoteza direction, nikaweka sawa. Kurudi quality imeongezeka hadi kufikia 26. Kusearch tu kitu mwaah!
 
Chief nilifanikiwa, Signal ilikuwa kwenye 76, lakini quality ilikuwa ni 0%, hivyo nikaenda kucheki LNB na kukuta imepoteza direction, nikaweka sawa. Kurudi quality imeongezeka hadi kufikia 26. Kusearch tu kitu mwaah!
Safi mkuu. Fanya ifike 60 channel zitaongezeka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom