Azam TV, hii ni makusudi au mmekosea?

maiyanga1

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
1,320
1,793
Sasa hivi kuna mechi ya ligi Kuu ya NBC.

Singida Big Stars imebadilisha jina sasa hivi ni Singida Fountain Gate. Azam bado wanaandika SBS ikimaanisha Singida Big Stars, na sio Singida Fountain Gate.

Ni bahati mbaya au bora liende?
 
Sasa hivi kuna mechi ya ligi ya vodacom.
Singida Big Stars imebadilisha jina sasa hivi ni Singida Fountain Gate. Azam bado wanaandika SBS ikimaanisha Singida Big Stars, na sio Singida Fountain Gate. Ni bahati mbaya au bora liende?
Unailaumu Azam haya wewe hii ligi ya Vodacom umeitoa wapi au unaunga mkono makusudi ya Azam?
 
Kitayosce walionesha hadi cheti kutoka BMT cha kubadili jina na kuwa Tabora United , lakini Azam TV, mashabiki na waandishi wa habari bado wanasema ni Kitayosce.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio unakosea.

1. Hakuna LIGI ya Vodacom Tanzania
Tuna League ya NBC PREMIER LEAGUE
2023.
NBC Ndie mdhamini WA LIGI ya Tanzania.

2. Hayo majina yaliyobadilishwa na hizo TIMU Bado hayajawa (Offisial registered)
Bado hayajasajiliwa RASMI TFF.
kitayose na Singida big stars wataendelea kutumia majina hayo Hadi watakaposajiliwa RASMI.


3. Haya majina na masahihisho yake Huwa yanawasilishwa BMT balaza la michezo LA TAIFA

Baada ya BMT yanakwenda wizarani TFF, BODY YA LIGI NQ AZAM MEDIA .

4. Azam wamechukua majina kwenye body ya league TPLB,.
BODI ya League nao wanapewa majina Ya timu na TFF.

FICHA UJINGA
 
Kitayosce walionesha hadi cheti kutoka BMT cha kubadili jina na kuwa Tabora United , lakini Azam TV, mashabiki na waandishi wa habari bado wanasema ni Kitayosce.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ni kizunguzungu tu hapa. Nilimsikia msemaji wa TFF siku moja baada ya mechi ya AIBU kati ya Azam na Kitayose akimtaka mwandishi azungumzie timu ipi kati ya Kitayose ama Tabora United.
 
Sasa hivi kuna mechi ya ligi Kuu ya NBC.

Singida Big Stars imebadilisha jina sasa hivi ni Singida Fountain Gate. Azam bado wanaandika SBS ikimaanisha Singida Big Stars, na sio Singida Fountain Gate.

Ni bahati mbaya au bora liende?
Haya mambo yako juu ya uwezo wako wa kuelewa na kufikiri hivyo baki kuangalia mechi tu mengine kamwe huyawezi!
 
Sasa hivi kuna mechi ya ligi Kuu ya NBC.

Singida Big Stars imebadilisha jina sasa hivi ni Singida Fountain Gate. Azam bado wanaandika SBS ikimaanisha Singida Big Stars, na sio Singida Fountain Gate.

Ni bahati mbaya au bora liende?
Wabongo kitu tunachoweza ni kulalamika
 
Sasa hivi kuna mechi ya ligi Kuu ya NBC.

Singida Big Stars imebadilisha jina sasa hivi ni Singida Fountain Gate. Azam bado wanaandika SBS ikimaanisha Singida Big Stars, na sio Singida Fountain Gate.

Ni bahati mbaya au bora liende?
Kama Kitayosce badala ya Tabora Utd.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom