Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,547
- 2,194
Mimi ni Mmiliki wa kisimbuzi cha Azam, nimelipia package ya Sports. Cha kushangaza napata Azam Sport HD, Man Utd, Liverpool TV na Madrid TV.
Naomba kuuliza, hivi Fox Sport siyo channel ya michezo au Kombat Sport, MCS International Sport, hizi channel si za sports?
Kwanini hamziweki kwenye package ya sports?
Acheni kutuibia, kama mmeshasema channel za sports ni elfu 15, basi tuwekeeni channel zote za sports, na sio kutupiga changa la macho na hiyo Azam HD pekee. Au nyie hizi channel mnaziitaje kama sio za sports?
Acheni utapeli wa mchana kweupe tuwekeeni hizo channel kwenye package ya sports.
Au mmeanza kulewa Sifa kama DSTV?
Naomba kuuliza, hivi Fox Sport siyo channel ya michezo au Kombat Sport, MCS International Sport, hizi channel si za sports?
Kwanini hamziweki kwenye package ya sports?
Acheni kutuibia, kama mmeshasema channel za sports ni elfu 15, basi tuwekeeni channel zote za sports, na sio kutupiga changa la macho na hiyo Azam HD pekee. Au nyie hizi channel mnaziitaje kama sio za sports?
Acheni utapeli wa mchana kweupe tuwekeeni hizo channel kwenye package ya sports.
Au mmeanza kulewa Sifa kama DSTV?