Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Azam wana vifurushi mbali mbali,
Kuanzia Kifurushi 10,000/=, kuna cha 18,000/=, cha 23,000/= na 28,000/=.
Vifurushi vyote hivi vimeathirika kwa kuondolewa channels za hapa nyumbani, maarufu kama "FTA".
Sasa basi kwa kua kulikua na "Implied Contract" ya kulipia vifurushi ambavyo vimepunguzwa channels, inabidi mfanye "compensations" kwa kufanya "up grades" kwa kila alielipia.
Mfano alielipia kifurushi cha 10,000/= kwa mwezi apelekwe kifurushi cha 18,000. Yaani mumuongezee channels zingine kwenye kifurushi chake ili awe sawa na alielipia 18,000= ambae nae ataongezewa channels vile vile. Hii itajenga uaminifu wenu kwetu na itaondoa ile dhana kwamba kwa sasa mnatubia kutulipisha bei ile ile wakati vifurushi vimepunguzwa channels.
Nina imani ushauri huu utazingatiwa na Utawala wa Azam. Pia TCRA mnaweza kuuchukua huu ushauri mkakaa chini na kujadiliana na hawa Azam ili kuhakikisha haki za mtumiaji zinalindwa.
Kuanzia Kifurushi 10,000/=, kuna cha 18,000/=, cha 23,000/= na 28,000/=.
Vifurushi vyote hivi vimeathirika kwa kuondolewa channels za hapa nyumbani, maarufu kama "FTA".
Sasa basi kwa kua kulikua na "Implied Contract" ya kulipia vifurushi ambavyo vimepunguzwa channels, inabidi mfanye "compensations" kwa kufanya "up grades" kwa kila alielipia.
Mfano alielipia kifurushi cha 10,000/= kwa mwezi apelekwe kifurushi cha 18,000. Yaani mumuongezee channels zingine kwenye kifurushi chake ili awe sawa na alielipia 18,000= ambae nae ataongezewa channels vile vile. Hii itajenga uaminifu wenu kwetu na itaondoa ile dhana kwamba kwa sasa mnatubia kutulipisha bei ile ile wakati vifurushi vimepunguzwa channels.
Nina imani ushauri huu utazingatiwa na Utawala wa Azam. Pia TCRA mnaweza kuuchukua huu ushauri mkakaa chini na kujadiliana na hawa Azam ili kuhakikisha haki za mtumiaji zinalindwa.