Kusema haki na kusema kweli Mzee SSB wa Azam ni aliye Barikiwa kil kitengo kinazalisha na kustawisha kazi na shughuli za kijzmii..hadi uchumi una nova na kukiwa ...
Infact mkono wake Mzee Bajhressa umebarikiwa...
Pamoja kujenga Tanzania y leo....
Mleta mada Acha kupotosha watu,hiyo picha ya vifurushi hata haihusiani na hao Azam,na ni picha ya kuedit imeondolewa 0 moja kwenye hizo bei,na ni picha ya Muda Sana ilikuwa ikisambaa huko Twitter.
Mleta mada Acha kupotosha watu,hiyo picha ya vifurushi hata haihusiani na hao Azam,na ni picha ya kuedit imeondolewa 0 moja kwenye hizo bei,na ni picha ya Muda Sana ilikuwa ikisambaa huko Twitter.