Nikiwa kama shabiki wa Azam nimesikitishwa mno na perfomance ya timu Yangu hasa kwenye ukabaji wa timu
Timu ya Azam linapokuja suala la ukabaji ni wachezaji wachache sana wanaotimiza wajibu wao inavyotakiwa
Leo hii Yanga wamepata alama tatu kwa sababu ya wachezaji wa Azam kukosa nidhamu ya ukabaji
Hebu angalia yanga walivyokuwa wanafika kirahisi golini kwa Azam bila kustruggle yaani wangekuwa makini wangeshinda hta goal saba
Azizi ki pekee yake alikuwa na short on target karibia saba alikuwa yupo huru mno shukrani kwa kipa vinginevyo leo ingekuwa aibu kubwa
Azam kuanzia mbele kwa Dube, Sopu sillah na Feisal hawa wote walikuwa wanawasindikiza Yanga kwenda golini kwao yaani hawakabi kabisa wanakabia macho
Leo kama Azam angeshinda mpira ungekuwa haujatenda haki kabisa!!
Timu ya Azam linapokuja suala la ukabaji ni wachezaji wachache sana wanaotimiza wajibu wao inavyotakiwa
Leo hii Yanga wamepata alama tatu kwa sababu ya wachezaji wa Azam kukosa nidhamu ya ukabaji
Hebu angalia yanga walivyokuwa wanafika kirahisi golini kwa Azam bila kustruggle yaani wangekuwa makini wangeshinda hta goal saba
Azizi ki pekee yake alikuwa na short on target karibia saba alikuwa yupo huru mno shukrani kwa kipa vinginevyo leo ingekuwa aibu kubwa
Azam kuanzia mbele kwa Dube, Sopu sillah na Feisal hawa wote walikuwa wanawasindikiza Yanga kwenda golini kwao yaani hawakabi kabisa wanakabia macho
Leo kama Azam angeshinda mpira ungekuwa haujatenda haki kabisa!!