Azam sports wabaguzi

Azam sports wabaguzi

MrKanteChelsea

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2019
Posts
655
Reaction score
823
Si shabiki wa ligi hii ya hapa nchini ila naishi na watazamaji wa hiyo ligi.

Kila ikifika mechi za timu ndogo hakuna watangazaji ila Simba ama Yanga wakiwepo hapo wapo sasa kuna maana ipi ya kurusha hizo mechi kama hamuwezi kuweka watangazaji.

Au ndio soka letu kivyetu vyetu maana hata kuwashauri wanaojenga viwanja kufunga taa za kueleweka mmeshindwa picha Aperture ipo chini balaa.
 
Si shabiki wa ligi hii ya hapa nchini ila naishi na watazamaji wa hiyo ligi.

Kila ikifika mechi za timu ndogo hakuna watangazaji ila Simba ama Yanga wakiwepo hapo wapo sasa kuna maana ipi ya kurusha hizo mechi kama hamuwezi kuweka watangazaji.

Au ndio soka letu kivyetu vyetu maana hata kuwashauri wanaojenga viwanja kufunga taa za kueleweka mmeshindwa picha Aperture ipo chini balaa.
Kenge sana wewe. Siyo shabiki then hizo picture umejuaje zina quality mbaya????
Acha UCHAWI NDUGU
 
Kenge sana wewe. Siyo shabiki then hizo picture umejuaje zina quality mbaya????
Acha UCHAWI NDUGU
Sio shabiki ndio napokaa kuna wadau macho yanona kwa sec kadhaa kilichopo haijalishi utatukana ukweli ni hovyo hovyo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom