ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Awali ya yote, naomba nitoe pole ya dhati kwa msiba mzito uliowakumba Azam Media. Ni wazi mmepata pigo na familia zao ndo zina maamivu yasiyomithilika.
Hata hivyo, nasikitika kuwajulisha kuwa, musiba huu, umewafanya kuonekana mnauza huduma zenu wakati huo mkitaka wateja wasubiri hulka zenu.
Hivi ni sababu gani imepelekea kusitisha matangazo kwenye UTV yenu? Mtasema ni kuomboleza. Sawa nakubali. Hivi maombolezo hayo, yanaathiriwa na mpira pekee? Wakati mmezuia mpira kwenye utv, bado tamthilia na filamu vinaendelea. Nimeshindwa kuwaelewa.
Mbaya zaidi, mashirika ya mataifa jirani kama UBC, KBC, RWANDA TV, ambayo mtu akilipa cha 10,000/- anapata matangazo yao na walitangaza kuonesha mechi zote, kitendo chenu cha kuwazimia wkt wa mipira na kutuandikia *"Chanel restricted ", halafu baada ya mipira Chanel kuonekana, si uungwana hata kidogo. Tumelipia tuone si kuzuiwa kisa misiba. Wengi tumefiwa na kilevi chetu mpira.
Halafu mlivyo wabinafsi, hadi huduma kwa mteja mmezuia kabisa.
Nyie watu gani? Mnaboa
Hata hivyo, nasikitika kuwajulisha kuwa, musiba huu, umewafanya kuonekana mnauza huduma zenu wakati huo mkitaka wateja wasubiri hulka zenu.
Hivi ni sababu gani imepelekea kusitisha matangazo kwenye UTV yenu? Mtasema ni kuomboleza. Sawa nakubali. Hivi maombolezo hayo, yanaathiriwa na mpira pekee? Wakati mmezuia mpira kwenye utv, bado tamthilia na filamu vinaendelea. Nimeshindwa kuwaelewa.
Mbaya zaidi, mashirika ya mataifa jirani kama UBC, KBC, RWANDA TV, ambayo mtu akilipa cha 10,000/- anapata matangazo yao na walitangaza kuonesha mechi zote, kitendo chenu cha kuwazimia wkt wa mipira na kutuandikia *"Chanel restricted ", halafu baada ya mipira Chanel kuonekana, si uungwana hata kidogo. Tumelipia tuone si kuzuiwa kisa misiba. Wengi tumefiwa na kilevi chetu mpira.
Halafu mlivyo wabinafsi, hadi huduma kwa mteja mmezuia kabisa.
Nyie watu gani? Mnaboa