Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,958
- 3,307
Mi kama mteja kig'ang'anizi wa azam tv decorder naomba azam mrudishe mfumo wa zaman wa ku search channels. Huu mlioweka sio rafiki kabsa. Aliyebun hii kitu alichemka. Unalazimika kujua kabla channel unayotaka iko kund gani. Jaman wengine tumeshaamua kuwa na nyinyi kwa shida na raha yan bila local channels, sasa huu mlolongo mmeuweka ili iweje?