Azam Lager

hao kama sio tbl basi ni sbl maana wasingemruhusu kwenye kile kinachoitwa Fair Competition..
 
Fitina si kitu kizuri hata kidogo,azam malta hazina kilevi hata kidogo,mimi naitumia pamoja na jamaa zangu ambao hawatumii biere na hakuna hata mmoja aliethibitisha kuwa ina kilevi, watanzania endeleeni kukamua azam malta
 
Kwani kuna kosa akitengeneza bia? Take what u deserve. To me naona azam wanatengeneza vitu kwa mahitaji ya watu na kwa gharama nafuu, of which each can afford to buy and comsume with diffenent package size (market niche). Jamani watanzania juani marketing strategies kama Azam
 
naona hamjaelewa huo ujumbe, tena inawezekana huu ujumbe ni kutoka azam wenyewe kutaka kuwateka wanywa beer, ujumbe unasema harufu ladha, povu na bei ni kama beer, yaani kisichokuwepo pale ni alcohol content, which is true

sasa fitina ni zipi hapa

to be a brew master is not a joke
 
naona hamjaelewa huo ujumbe, tena inawezekana huu ujumbe ni kutoka azam wenyewe kutaka kuwateka wanywa beer, ujumbe unasema harufu ladha, povu na bei ni kama beer, yaani kisichokuwepo pale ni alcohol content, which is true

sasa fitina ni zipi hapa

to be a brew master is not a joke
Huu ujumbe wala hauna dalili kutoka Azam.Mimi nasikia yule babu ni muislamu na waislamu wana sheria ngumu kuhusu ulevi.Inashangaza kudanganywa na mafundi wake mpaka akaruhusu kutengeneza kinywaji chenye sifa zote za bia.
 
Big up. Wafahamishe hao jamaa zako. Kuna Heineken ina kila kitu kama ile yenyewe lakini -no alcohol. Kama Bakhressa anafanya kitu kama hicho mimi nampiga big up- kwa sababu hapa nakunywa hiyo Heineken without alcohol. Nikitua hapo Bongo mimi ni mteja wake.
 
Usinunu wala kunywa azam malt ukidhani kuwa ina malt kama ya vita malt. Azam anaweka chemical flavours.soma ktk ile chupa.na wanajua yakuwa watanzania hatusomi labels
 
Hana mpango wowote.Kifo cha kibiashara kinamnyemelea.
Waislamu hawana haja nae.Mwache awatengenezee mabwana zake kinywaji.
 
Atuwekee na Azam Safari. Maana hii Safari beer ya sasa makaburu wameshaichakachua. Atuwekee ile original.
 
hivi vitu vingine tunatumia basi tuu, jiulize hiyo malt yote inayotengeneza hivyo vinywaji ghafla inalimwa wapi, simple it is all about artificial flavouring, synthetization and the like

umenena vyema.
malt anatoa wapi?
 
Big up. Wafahamishe hao jamaa zako. Kuna Heineken ina kila kitu kama ile yenyewe lakini -no alcohol. Kama Bakhressa anafanya kitu kama hicho mimi nampiga big up- kwa sababu hapa nakunywa hiyo Heineken without alcohol. Nikitua hapo Bongo mimi ni mteja wake.
Hivi Safari lager isiyo na alcohol bado inaitwa safari lager??

Ukinywa Heineken isiyo na alcohol, unakuwa umekunywa nini sasa........au unajisikia umekunywa Heineken tu.......
we Mubyanzi nini???? tehe tehe!!!
 
Makampuni ya bia yalipoona masheikh hawanywi bia wakaamua watumie nembo ya Azam ili iwazoweshe vinywaji vyao na hatimae bia inywewe hata misikitini kama inavyofanyika makanisani.
 
i don think kama watatengeneza beer...ila i urge them to continue expanding their product line(against kenyan products) eg. watengeneze adi azam-colgate,azam blueband,azam big g.. in that way uchumi wetu utakua...so far they have managed to build a strong image in tz ndo mana kila ki2 watachofanya will turn into gold
 
:thinking:Mzee Bakheresa kiboko, ila sie tunajiuliza mbona hayuko kwenye top 5 ya walipaji kodi wakubwa nchini?!
 
:thinking:Mzee Bakheresa kiboko, ila sie tunajiuliza mbona hayuko kwenye top 5 ya walipaji kodi wakubwa nchini?!

tatizo anaweka hela zake kwenye kibubu hazipeleki benki ndio maana hawamuweki kwenye list..
 
tatizo anaweka hela zake kwenye kibubu hazipeleki benki ndio maana hawamuweki kwenye list..

atakua anafanya tax evasion...maana kama angekua analipa kodi kihalali lazima ange make it to list ya walipa kodi bora
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom