AZAM/Bakhresa Group Yasherekea miaka 50 tangu kuanzishwa

AZAM/Bakhresa Group Yasherekea miaka 50 tangu kuanzishwa

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,581
Reaction score
10,110
1754773945832.jpg

MIAKA 50 YA BAKHRESA GROUP

Muasisi na Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Said Salim Awadh Bakhresa, ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa kampuni za Bakhresa, yaliyofanyika leo Agosti 09, 2025 kwenye ukumbi wa The Dome Masaki, Dar es Salaam.
 
View attachment 3437075
MIAKA 50 YA BAKHRESA GROUP

Muasisi na Mwenyekiti wa Kampuni za Bakhresa, Said Salim Awadh Bakhresa, ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa kampuni za Bakhresa, yaliyofanyika leo Agosti 09, 2025 kwenye ukumbi wa The Dome Masaki, Dar es Salaam.
Na bado jamaa hataki kuongeza mtaji kwa njia ya kuuza hisa DSE. Umiliki wa makampuni yake upo kwake na familia.
 
Mwezi mzima aweke punguzo bidhaa zake huyo ponjoro..!!
 
Back
Top Bottom