skydmx
JF-Expert Member
- Jun 3, 2010
- 229
- 96
Natumaini wadau hamjambo-
wengine tupo nnje ya nchi na hua tunatumia sana azam application kutizama program za kiswahili pia na habari za nyumbani ila kwa sasa tunaona matangazo tu leo siku kama ya nne.
je kuna taarifa zozote kwanini zimekatwa?
nashukuru sana
wengine tupo nnje ya nchi na hua tunatumia sana azam application kutizama program za kiswahili pia na habari za nyumbani ila kwa sasa tunaona matangazo tu leo siku kama ya nne.
je kuna taarifa zozote kwanini zimekatwa?
nashukuru sana