Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 11,244
- 15,063
- Thread starter
- #21
Leo France wamekiri wazi walimsaidia Israel kuangusha drones za IranWa Israel hawajakimbia tu hivi hivi bila sababu yale makombora ya Iran vishindo vyake vilikua ni noma Trump mwenyewe anasema tangu azaliwe hajawahi kuona mashambulizi kama yale na amekiri Israel imepigwa haswa, sasa lazima wana wa Israel wakimbie maana kombora likitua hapa hadi nyumba ya 10 lazima ipasuke vioo kwa mtikisiko
View: https://youtube.com/shorts/6E2d9ftCg70?si=IrPEZJ6m6pZCianM