Jamani wana jamvi, kunakipindi nilikuwa likizo huko home nikasikia umbea kuwa AY na Amani yule mwanamusiki wa Kenya kuwa walikuwa katika harakati za kuoana. Ni kweli?
Genekai
Kwani hiyo ni Joke? weka kila kitu mahala pake bwana, this is the house of great thinkers. Hata hivyo hiyo ni issue ambayo ni personal sana. Lakini kwa kuwa hao watu ni celebrities then its ok
Genekai
Kwani hiyo ni Joke? weka kila kitu mahala pake bwana, this is the house of great thinkers. Hata hivyo hiyo ni issue ambayo ni personal sana. Lakini kwa kuwa hao watu ni celebrities then its ok
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.