Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amemuagiza Mkandarasi Kutoka kampuni ya CCECC ya Nchini China anayetekeleza mradi wa Maji Tunduma - Vwawa kuhakikisha anakamilisha kazi kwa wakati huku akisisitiza kuwa akimzingua naye atamzingua.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri Aweso ametoa maagizo hayo leo tarehe 20 Machi 2025 kwenye hafla ya utiaji saini ya mkataba wa mradi huo unaotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa gharama ya shilingi bilioni 119. 954.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri Aweso ametoa maagizo hayo leo tarehe 20 Machi 2025 kwenye hafla ya utiaji saini ya mkataba wa mradi huo unaotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa gharama ya shilingi bilioni 119. 954.