Awe mwalimu lakini

Awe mwalimu lakini

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,191
Reaction score
29,749
Waungwana nimeamua kuoa na kuanza maisha ya ndoa,hii tabia ya kusema bado hapana.Ajitokeze tu mwalimu wa sekondari nikamilishe taratibu za kwenda kwao.Umri awe na 23-26.

PM ihusike katika hili.

Asante.
 
evelyn salt me najua ukiamua kulisimamia suala nitakaa tu,coz nawajua ninyi wanawake wa jf ni ver strng mkiongozwa na lara 1.Acha ibaki hivo tu mama
 
Kila la kheri mkuu,, mungu ajalie upate mke mwema.
 
Waungwana nimeamua kuoa na kuanza maisha ya ndoa,hii tabia ya kusema bado hapana.Ajitokeze tu mwalimu wa sekondari nikamilishe taratibu za kwenda kwao.Umri awe na 23-26.

PM ihusike katika hili.

Asante.
Real men marry teachers.......................
 
Mie ni mwalimu ila wa tuition tu.Nawafundisha watoto wadogo sijui naruhusiwa kutuma maombi?Na umri sogeza kidogo hadi kwenye 39 hivi
 
Nenda kwa classrooms wapo wengi, huku jf watapretend tu
 
Munkari sijui anafundisha wapi hata internet hazishiki huko aliko ni mpka likizo tu ndo anaonekana jf
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom