Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,821
- 57,419
Hahaha.......sio rahisi Mkuu, maana kila tukiwasalimia Warembo "Mambo" wanasema "Shikamoo" 😜Mjini uzee mwisho msata 😃🤣
Kweli tumezeeka 😅
Hahaha.......sio rahisi Mkuu, maana kila tukiwasalimia Warembo "Mambo" wanasema "Shikamoo" 😜Mjini uzee mwisho msata 😃🤣
Mhhh. Nenda vyuoni uta itwa katoto 😃🤣Hahaha.......sio rahisi Mkuu, maana kila tukiwasalimia Warembo "Mambo" wanasema "Shikamoo" 😜
Kweli tumezeeka 😅
Kwa kweli Mkuu.......maana hapa nilipo nimemwambia DJ airudie hii ngoma mara 3 ili kwenda sawa na Vijana 🤗tutafanyaje mkuu kama tunakua maeneo na dj anapiga nyimbo ya chapati ni kwenda na kasi ya vijana tuh hamna namna
Sema Nyimbo kali mnoo🤒Kwa kweli Mkuu.......maana hapa nilipo nimemwambia DJ airudie hii ngoma mara 3 ili kwenda sawa na Vijana 🤗
Maisha yenyewe ndiyo hayahaya tu 🤗
Kweli aiseeSema Nyimbo kali mnoo🤒
Tinga tinga huu sijui kwann na vibe nazo, mwaka Jana karata yangu ilikua kwa vimodoKwamba ni mizigo ya kwenda 😃🤒
Ila harmonize ana chekesha, Eti Kama rahisi kuwa na shape.Kweli aisee
Mi slim curvy ndo ma favorite 🤒Tinga tinga huu sijui kwann na vibe nazo, mwaka Jana karata yangu ilikua kwa vimodo
Lisa mapenzi au kisa mapenzi?👉Watu Wana konda Lisa mapenzi,
Hawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.Ukishakuwa penzini,unajua penzini mkuu,? Mi sizungumzii vichomi
Kuna fala alinikondesha 2022.. Namshukuru Mungu sahivi naonekana.Sema uki pata hela, sio mapenzi.
👉Watu Wana konda Lisa mapenzi, haumkumbuki stamina🤒
Sema hz mambo saa zingn hazinaga formula utakutana mdada sauti yake tu kwiiiiiiishaaa unabadili Kila Kitu, mwingn muonekano!Mi slim curvy ndo ma favorite 🤒
😂😂😂😂😂😂🙌🙌Hawawezi kukuelewa mwaya, tuliopo penzini tunajua.
Sasa hivi nang’aa kama habibty kutoka Oman kwa amani na raha anazonipea kaka mzuri 😜🫶🏽
Wewe hayo macho yatachelewa sana kupona 🤣🤣😂😂😂😂😂😂🙌🙌
Najiuliza hii kitu extra kwenye mapenzi mnapata ni nini? Mbn mm niwe na mpenzi nisiwe nae mi ni yule yule tu sipauki sing'aiWewe hayo macho yatachelewa sana kupona 🤣🤣
Yale si mapenzi ni tungu😃🤣🤒Kuna fala alinikondesha 2022.. Namshukuru Mungu sahivi naonekana.
Hata mimi nilikuwa kama wewe hadi nilipompata huyu tunayependana kiukweli, amini utafika wakati wako nawe utapata tunachopata.Najiuliza hii kitu extra kwenye mapenzi mnapata ni nini? Mbn mm niwe na mpenzi nisiwe nae mi ni yule yule tu sipauki sing'ai