Awamu ya nne ilijenga mahusiano Awamu ya tano inabomoa

MWITONGO MAARIFA

JF-Expert Member
Aug 11, 2018
276
1,428
Tunakosa mwendelezo katika Mambo ya msingi na yanayogusa maslahi mapana ya nchi.
Dunia kwa Sasa inaendeshwa kwa network na network ujengwa kwenye mahusiano baini ya serikali na WAFANYABISHARA , serikali na taasisi za kimataifa, serikali na jumuhia mbalimbali na mwisho serikali au nchi na nchi.

Tunaweza tukawa na viongozi wenye kuitakia mema Tanzania lakini wakakosa mikakati ya kutekeleza maono Yao. Ni vigumu kuishi Duniani ukajitenga na walimwengu au kuwadhiaki walimwengu then ukapata mafanikio.

Urusi ni nchi kubwa Duniani na inaongozwa na wataalamu wa mikakati na kijasusi lakini iliona si vyema kugombana na Marekani, viongozi wa Urusi hawakuona ni afya kutunishiana misuli na US Bali walijishusha kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa lengo la kuwalinda warusi waliowekeza Duniani na kulinda maslahi mapana ya Urusi nje ya Urusi.

Mataifa mbalimbali yanatofautiana na kutokuelewana lakini yanakwenda mezani na kujadiliana Kisha yanasonga mbeli kwa sababu Duniani tunategemeana.

Hakuna ukoloni mpya utakaokuja isipokuwa ukoloni uliopo Sasa wa kukosa mbinu za kutumia fursa zilizopo Duniani kukufanikisha kiuchumi na kisiasa.

Sisi tumefika mahali wageni wote kwetu tunawaita wezi, vibaraka, sijui Wana wivu na rasilimali zetu, Mara tumewakomoa wanaangaika nk huku tukisau kuwa tajiri hawezi kuangaika kumnyenyekea maskini isipokuwa tajari anaweza kumsikiliza maskini na kumtimizia mahitaji yake pale tu maskini atakapoweza kumshawishi tajiri kuwa pamoja na umaskini wake lakini yeye ni muhimu kuwezesha huyo tajiri kuzidi kuwa tajiri.

Tunakosea Sana kutibua mikakati na heshima iliyojengwa na JK machoni pa mataifa, si kitu kirahisi kuitangaza Tanzania kimataifa Kama ilivyo rahisi kubomoa ..

Waziri wa mambo ya nje jaribu kubadili mwelekeo wa nchi yetu kwa wageni, Ni Kama tunataka tuishi peke yetu Tanzania tukiamini Tunaweza kuendelea ....maendeleo yanaletwa na watu na hivyo tujijengee utaratibu wa kuzungumza na watu kwa sta na tuondoe kiburi.
 
Kila aingiae huja na lake, hapo zamani tulikuwa karibu sana na dunia ila kwa sasa tumerudi nyuma kidogo sijajua ni dalili za ujamaa au vipi.
 
Tunakosa mwendelezo katika Mambo ya msingi na yanayogusa maslahi mapana ya nchi.
Dunia kwa Sasa inaendeshwa kwa network na network ujengwa kwenye mahusiano baini ya serikali na WAFANYABISHARA , serikali na taasisi za kimataifa, serikali na jumuhia mbalimbali na mwisho serikali au nchi na nchi.

Tunaweza tukawa na viongozi wenye kuitakia mema Tanzania lakini wakakosa mikakati ya kutekeleza maono Yao. Ni vigumu kuishi Duniani ukajitenga na walimwengu au kuwadhiaki walimwengu then ukapata mafanikio.

Urusi ni nchi kubwa Duniani na inaongozwa na wataalamu wa mikakati na kijasusi lakini iliona si vyema kugombana na Marekani, viongozi wa Urusi hawakuona ni afya kutunishiana misuli na US Bali walijishusha kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa lengo la kuwalinda warusi waliowekeza Duniani na kulinda maslahi mapana ya Urusi nje ya Urusi.

Mataifa mbalimbali yanatofautiana na kutokuelewana lakini yanakwenda mezani na kujadiliana Kisha yanasonga mbeli kwa sababu Duniani tunategemeana.

Hakuna ukoloni mpya utakaokuja isipokuwa ukoloni uliopo Sasa wa kukosa mbinu za kutumia fursa zilizopo Duniani kukufanikisha kiuchumi na kisiasa.

Sisi tumefika mahali wageni wote kwetu tunawaita wezi, vibaraka, sijui Wana wivu na rasilimali zetu, Mara tumewakomoa wanaangaika nk huku tukisau kuwa tajiri hawezi kuangaika kumnyenyekea maskini isipokuwa tajari anaweza kumsikiliza maskini na kumtimizia mahitaji yake pale tu maskini atakapoweza kumshawishi tajiri kuwa pamoja na umaskini wake lakini yeye ni muhimu kuwezesha huyo tajiri kuzidi kuwa tajiri.

Tunakosea Sana kutibua mikakati na heshima iliyojengwa na JK machoni pa mataifa, si kitu kirahisi kuitangaza Tanzania kimataifa Kama ilivyo rahisi kubomoa ..

Waziri wa mambo ya nje jaribu kubadili mwelekeo wa nchi yetu kwa wageni, Ni Kama tunataka tuishi peke yetu Tanzania tukiamini Tunaweza kuendelea ....maendeleo yanaletwa na watu na hivyo tujijengee utaratibu wa kuzungumza na watu kwa sta na tuondoe kiburi.
Tatizo mtawala aliepo hajui ukubwa wa nafasi aliyonayo nisawa na mtu aliekuwa anaishi kwenye Chumba kimoja baada yakujenga vyumba viwili anaamini inatosha
 
Tunakosa mwendelezo katika Mambo ya msingi na yanayogusa maslahi mapana ya nchi.
Dunia kwa Sasa inaendeshwa kwa network na network ujengwa kwenye mahusiano baini ya serikali na WAFANYABISHARA , serikali na taasisi za kimataifa, serikali na jumuhia mbalimbali na mwisho serikali au nchi na nchi.

Tunaweza tukawa na viongozi wenye kuitakia mema Tanzania lakini wakakosa mikakati ya kutekeleza maono Yao. Ni vigumu kuishi Duniani ukajitenga na walimwengu au kuwadhiaki walimwengu then ukapata mafanikio.

Urusi ni nchi kubwa Duniani na inaongozwa na wataalamu wa mikakati na kijasusi lakini iliona si vyema kugombana na Marekani, viongozi wa Urusi hawakuona ni afya kutunishiana misuli na US Bali walijishusha kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa lengo la kuwalinda warusi waliowekeza Duniani na kulinda maslahi mapana ya Urusi nje ya Urusi.

Mataifa mbalimbali yanatofautiana na kutokuelewana lakini yanakwenda mezani na kujadiliana Kisha yanasonga mbeli kwa sababu Duniani tunategemeana.

Hakuna ukoloni mpya utakaokuja isipokuwa ukoloni uliopo Sasa wa kukosa mbinu za kutumia fursa zilizopo Duniani kukufanikisha kiuchumi na kisiasa.

Sisi tumefika mahali wageni wote kwetu tunawaita wezi, vibaraka, sijui Wana wivu na rasilimali zetu, Mara tumewakomoa wanaangaika nk huku tukisau kuwa tajiri hawezi kuangaika kumnyenyekea maskini isipokuwa tajari anaweza kumsikiliza maskini na kumtimizia mahitaji yake pale tu maskini atakapoweza kumshawishi tajiri kuwa pamoja na umaskini wake lakini yeye ni muhimu kuwezesha huyo tajiri kuzidi kuwa tajiri.

Tunakosea Sana kutibua mikakati na heshima iliyojengwa na JK machoni pa mataifa, si kitu kirahisi kuitangaza Tanzania kimataifa Kama ilivyo rahisi kubomoa ..

Waziri wa mambo ya nje jaribu kubadili mwelekeo wa nchi yetu kwa wageni, Ni Kama tunataka tuishi peke yetu Tanzania tukiamini Tunaweza kuendelea ....maendeleo yanaletwa na watu na hivyo tujijengee utaratibu wa kuzungumza na watu kwa sta na tuondoe kiburi.
eti awamu ya 4 iliboresha mahusiano ebo…kwa kuwachekea wezi!…kama hizi unaita matusi na kauli mbaya na zisizotakiwa fikiri upya…nenda kamsikilize Trump! Tatizo watu wengi hawependi kuambiwa ukweli…wakiambiwa ooh tumetukanwa! Mungu azidi kumuongoza rais wetu mpendwa Dr. JPJM kuendelea hivyohivyo na kuzidi mpaka wasiopenda kusikia ukweli wazoee na wafurahie vinginevyo warudi kwao watuachie nchi yetu! Mungu azidi ibarki Tz!
 
Nchi yetu inawekwa kwenye misingi bora ambapo biashara za wizi,feki,kukwepa rushwa,magendo ambazo zilizoeleka na kuwatoa wengi zinafyekelewa mbali. Rais anatumia nguvu stahili watu wanalalama je China wanaonyonga wala rushwa? Tunataka mabadiliko alafu tunataka business as usual? hill haliwezekani,urudie makosa ya Kikwete alafu utegemee mafanikio na mabadiliko hicho no kichekesho. Tuwe wavumilivu na tusijidharau pale tunapofanya mambo yetu
 
Tunakosa mwendelezo katika Mambo ya msingi na yanayogusa maslahi mapana ya nchi.
Dunia kwa Sasa inaendeshwa kwa network na network ujengwa kwenye mahusiano baini ya serikali na WAFANYABISHARA , serikali na taasisi za kimataifa, serikali na jumuhia mbalimbali na mwisho serikali au nchi na nchi.

Tunaweza tukawa na viongozi wenye kuitakia mema Tanzania lakini wakakosa mikakati ya kutekeleza maono Yao. Ni vigumu kuishi Duniani ukajitenga na walimwengu au kuwadhiaki walimwengu then ukapata mafanikio.

Urusi ni nchi kubwa Duniani na inaongozwa na wataalamu wa mikakati na kijasusi lakini iliona si vyema kugombana na Marekani, viongozi wa Urusi hawakuona ni afya kutunishiana misuli na US Bali walijishusha kwenda kwenye meza ya mazungumzo kwa lengo la kuwalinda warusi waliowekeza Duniani na kulinda maslahi mapana ya Urusi nje ya Urusi.

Mataifa mbalimbali yanatofautiana na kutokuelewana lakini yanakwenda mezani na kujadiliana Kisha yanasonga mbeli kwa sababu Duniani tunategemeana.

Hakuna ukoloni mpya utakaokuja isipokuwa ukoloni uliopo Sasa wa kukosa mbinu za kutumia fursa zilizopo Duniani kukufanikisha kiuchumi na kisiasa.

Sisi tumefika mahali wageni wote kwetu tunawaita wezi, vibaraka, sijui Wana wivu na rasilimali zetu, Mara tumewakomoa wanaangaika nk huku tukisau kuwa tajiri hawezi kuangaika kumnyenyekea maskini isipokuwa tajari anaweza kumsikiliza maskini na kumtimizia mahitaji yake pale tu maskini atakapoweza kumshawishi tajiri kuwa pamoja na umaskini wake lakini yeye ni muhimu kuwezesha huyo tajiri kuzidi kuwa tajiri.

Tunakosea Sana kutibua mikakati na heshima iliyojengwa na JK machoni pa mataifa, si kitu kirahisi kuitangaza Tanzania kimataifa Kama ilivyo rahisi kubomoa ..

Waziri wa mambo ya nje jaribu kubadili mwelekeo wa nchi yetu kwa wageni, Ni Kama tunataka tuishi peke yetu Tanzania tukiamini Tunaweza kuendelea ....maendeleo yanaletwa na watu na hivyo tujijengee utaratibu wa kuzungumza na watu kwa sta na tuondoe kiburi.
kweli kabisa alikaza kiduku na akalegeza sasa sie daaaah
 
eti awamu ya 4 iliboresha mahusiano ebo…kwa kuwachekea wezi!…kama hizi unaita matusi na kauli mbaya na zisizotakiwa fikiri upya…nenda kamsikilize Trump! Tatizo watu wengi hawependi kuambiwa ukweli…wakiambiwa ooh tumetukanwa! Mungu azidi kumuongoza rais wetu mpendwa Dr. JPJM kuendelea hivyohivyo na kuzidi mpaka wasiopenda kusikia ukweli wazoee na wafurahie vinginevyo warudi kwao watuachie nchi yetu! Mungu azidi ibarki Tz!
Mtoa mada anaongelea "internatinal relation" ya Tz na nchi za magharibi, wewe unaongelea wizi wandani mbona uko so obsessed na la kuchekea wizi, lkn kumbuka pamoja na kuchekea wizi uchumi wa nchi ulikua vizuri na watznia wengi walifurahia kuishi nchini kuliko sasa hamna wizi lkn hari mbaya kwa wote
 
Mchezaji kaingia uwanjani kwa mbwembwe nyingi majivuno matapo kuwa wachezaji wote hawajui yeye ndo bora kuwahi tokea tangu dirisha la usajili, matokeo yake mchezaji anaonekana kituko na kaonyesha kushindwa kuliko wachezaji wote,pumzi imekata,anacheza rafu,kuwafanyia fauro hadi watazamaji.
 
Ukapimwe akili ni awamu hii kodi zetu si sawa yenye upigaji mwingi na kuchezea kodi zetu kwa visivo na tija km Marudio ya chaguzi, subiria makaburi ya awamu hii yajefukuliwa,uje uandike tena,kama hii safi kwann inapenda Giza kuliko mwanga nn kinafichwa.
Nchi yetu inawekwa kwenye misingi bora ambapo biashara za wizi,feki,kukwepa rushwa,magendo ambazo zilizoeleka na kuwatoa wengi zinafyekelewa mbali. Rais anatumia nguvu stahili watu wanalalama je China wanaonyonga wala rushwa? Tunataka mabadiliko alafu tunataka business as usual? hill haliwezekani,urudie makosa ya Kikwete alafu utegemee mafanikio na mabadiliko hicho no kichekesho. Tuwe wavumilivu na tusijidharau pale tunapofanya mambo yetu
 
Ukapimwe akili ni awamu hii kodi zetu si sawa yenye upigaji mwingi na kuchezea kodi zetu kwa visivo na tija km Marudio ya chaguzi, subiria makaburi ya awamu hii yajefukuliwa,uje uandike tena,kama hii safi kwann inapenda Giza kuliko mwanga nn kinafichwa.
Utakuta umekula kande mbichi alafu unakosoa nchi we ndoupimwe akili...katiba inatimilizwa watu wameamua kutoka utumwani. Mbowe na lipumba wanawatuma kupinga kilakitu huku wao wakila fedha za chama kiulaiini. Miaka yote hata kajengo ka ofisi Hanna mnalialia m4c shit ivi akilizenu ziposawa,MTU hawezi kujenga ofisi atajenga reli at a akiwa rais? Harakati magirini kazi kumegana Mara Dubai Mara wapi! Tunaoujua upinzani kiundani tunakaa kimya hatutaki ufe tuu maana tunawatumiaga kuwapiga serikali na document. Malofa kamawewe mtasema sisi tupimwe akili tunacheeeka huku tukisonya
 
Mlala kwa shemeji kada kabebe zege ujue maisha,
Utakuta umekula kande mbichi alafu unakosoa nchi we ndoupimwe akili...katiba inatimilizwa watu wameamua kutoka utumwani. Mbowe na lipumba wanawatuma kupinga kilakitu huku wao wakila fedha za chama kiulaiini. Miaka yote hata kajengo ka ofisi Hanna mnalialia m4c shit ivi akilizenu ziposawa,MTU hawezi kujenga ofisi atajenga reli at a akiwa rais? Harakati magirini kazi kumegana Mara Dubai Mara wapi! Tunaoujua upinzani kiundani tunakaa kimya hatutaki ufe tuu maana tunawatumiaga kuwapiga serikali na document. Malofa kamawewe mtasema sisi tupimwe akili tunacheeeka
 
Ukapimwe akili ni awamu hii kodi zetu si sawa yenye upigaji mwingi na kuchezea kodi zetu kwa visivo na tija km Marudio ya chaguzi, subiria makaburi ya awamu hii yajefukuliwa,uje uandike tena,kama hii safi kwann inapenda Giza kuliko mwanga nn kinafichwa.
Utakuta umekula kande mbichi alafu unakosoa nchi we ndoupimwe akili...katiba inatimilizwa watu wameamua kutoka utumwani. Mbowe na lipumba wanawatuma kupinga kilakitu huku wao wakila fedha za chama kiulaiini. Miaka yote hata kajengo ka ofisi Hanna mnalialia m4c shit ivi akilizenu ziposawa,MTU hawezi kujenga ofisi atajenga reli at a akiwa rais? Harakati magirini Nazi kumegana Mara Dubai Mara wapi! Tunaoujua upinzani kiundani tunakaa kimya hatutaki ufe tuu maana tunawatumiaga kuwazingua serikali na document tunawapa pale kunapotokea mashida.
Mlala kwa shemeji kada kabebe zege ujue maisha,
Nahisi nabishana na 'katoto' haya lala ukue
 
Mbona mi sijasikia kama kuna nchi yoyote imevunja mahusiano na Tanzania?! Sasa kilichobomolewa kwenye mahusiano ni nini? Mbona Pesa tumepewa na WB? Na wengine watazileta tu, sasa watampa nani?
 
Back
Top Bottom