Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,000
Tupo mwishoni mwa muhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya 5, kuna mengi yamefanyika yanayokera na mengi pia yanayofurahisha ila tulio wengi tunafanya tathmini juu ya utendaji kazi wa Serikali hii kwa kumuangalia Rais pekee.
Leo nataka tulitathimini baraza la Mawazili la serikali hii ya awamu ya Tano kwa kila mmoja kumtaja Waziri wake anaeamini ni bora zaidi na kipi kilichokuvutia zaidi katika utendaji wake wa kazi.
Kwa upande wangu nimevutiwa sana na utendaji wa Waziri wa Ulinzi Mh: Husseni Mwinyi. Binafsi nimevutiwa na ukimya wake, sio mropokaji, si mpenda sifa, sijaskia akimtumbua mtu au akimkosoa hadharani mtendaji yeyote katika wizira yake. Sijui ni kwasababu anawaogopa wazee wa kazi au ni mfumo wake wa utawala.
Je, wewe ni nani Waziri wako bora?
Leo nataka tulitathimini baraza la Mawazili la serikali hii ya awamu ya Tano kwa kila mmoja kumtaja Waziri wake anaeamini ni bora zaidi na kipi kilichokuvutia zaidi katika utendaji wake wa kazi.
Kwa upande wangu nimevutiwa sana na utendaji wa Waziri wa Ulinzi Mh: Husseni Mwinyi. Binafsi nimevutiwa na ukimya wake, sio mropokaji, si mpenda sifa, sijaskia akimtumbua mtu au akimkosoa hadharani mtendaji yeyote katika wizira yake. Sijui ni kwasababu anawaogopa wazee wa kazi au ni mfumo wake wa utawala.
Je, wewe ni nani Waziri wako bora?