Melkiard Junior
Senior Member
- Aug 12, 2018
- 150
- 79
Wakuu salama? kuna yeyote aliyeomba AVN na akapata huu mwaka? je inalipiwa ama? maana naskia wanasema inalipiwa, but ukiingia kwenye system yao mtu unafanya regisrtaion hadi mwisho lakini hamna mahali wanadai kuhusu malipo.
Ahksanteni
Ahksanteni