AVN Inalipiwa Ama?

AVN Inalipiwa Ama?

Melkiard Junior

Senior Member
Joined
Aug 12, 2018
Posts
150
Reaction score
79
Wakuu salama? kuna yeyote aliyeomba AVN na akapata huu mwaka? je inalipiwa ama? maana naskia wanasema inalipiwa, but ukiingia kwenye system yao mtu unafanya regisrtaion hadi mwisho lakini hamna mahali wanadai kuhusu malipo.
Ahksanteni
 
Unalipia pale watakapo kuwa wameshadhibitiaha vyeti vyako watakutaarifu kwa sms then utaingia kwenye account yako utachukuwa acont nambe utalipa utapewa contral namba
 
Back
Top Bottom