Mbona ulibadilisha Avatar yako?
Mi naona ile ya zamani ndio ilikuwa bomba!
Hivi kumbe vinaendana??Ni kweli maana Topic zako na hiyo sura vinaendana.........................
<br />Ya Rejao mbona ipo bomba sana?<br />
Halafu ndio real him
mmmmhh
Fujo hizo .....
Oooh..kumbe!mkuu hivi una mke?
umewahi mara ngapi kuvaa shati kwa kuwa mkeo kalipenda ?lol
Hivi kumbe vinaendana??
Hebu nijaribu kupitia posts moja baada ya nyingine!
Oooh..kumbe!
Lakini mara nyingine huwa wanatupeleka chaka!
Ya Rejao mbona ipo bomba sana?
Halafu ndio real him
huyo ndo mmi Afrodenzi huwa napenda kuweka mambo wazi nilienda kwa mchoraji maarufu yule aliechora picha ya mkuu wa kaya(jk) ndo nami akanichora,mnh ha haa kweli ya kwako ni cute facekabisa my dear
Nimeshindwa kuelewa kwamba huyo ni
Mr.Bean ?? au
mwanasaikolojia kama yupo atueleze kilichomfanya Rejao kuweka avatar kimeo namna hii?
just thinkin lazima ina-reflect kitu kutoka kwake
mkuu sijaelewa inamaana avatar yake inareflect mambo yake?i ril like him by da waymwanasaikolojia kama yupo atueleze kilichomfanya Rejao kuweka avatar kimeo namna hii?
just thinkin lazima ina-reflect kitu kutoka kwake
Hahaha...jibu lako limenifurahishakisaikolojia anaonesha ni mtu mzaha na utani sana
na anapenda kucheka na kuchekesha watu
Thanx mikataba..<font size="3">mkuu sijaelewa inamaana avatar yake inareflect mambo yake?i ril like him by da way