Umetumwa!!!!!
Na RA pamoja na EL
Big up mkuu, avata yako imetulia kinoma.
and you think your is any better huh?nahisi ametumwa kwamtoro
Umetumwa!!!!!
Na RA pamoja na EL
kuna avatar members wa JF anaitwa Kwa mtoro kusema kweli hii avatia inatia kicfefuchefu, kama unanisoma mkuu badili, sorry kama nimeingilia uhuru wako, i cant upload because it has invalid file extension....
Nakushukuru mkuu kwa kuitoa avatar maana nilikuwa najisikia kutapika kila nikiumbuka avatar yako hasa wakati wa chakula...
Mbona Mkuu hujaiambatanisha hiyo avatar na ujumbe wako? maana hatuioni au imeshatolewa baada ya malalmiko yako?