kuna avatar members wa JF anitwa Kwa mtoro kusema kweli hii avatia inatia kicfefuchefu, kama unanisoma mkuu badili, sorry kama nimeingilia uhuru wako
kwakweli hii avatar hata mimi siipendi sijui unafaidi nini kuiangalia
Umetumwa!!!!!
Na RA pamoja na EL
kwakweli hii avatar hata mimi siipendi sijui unafaidi nini kuiangalia
inaelekea unawazimia sana hao jamaa nini mzee maana unaanza kuingiza siasa kwenye forum isio husika kabisa
nataman ningeiona lakin cm yangu haifungui.ni mbaya kwa maana ya kuwakilisha matusi au uvunjaji wa heshima?kama ni hivyo ni vema kubadilisha
kuna avatar members wa JF anaitwa Kwa mtoro kusema kweli hii avatia inatia kicfefuchefu, kama unanisoma mkuu badili, sorry kama nimeingilia uhuru wako, i cant upload because it has invalid file extension....
sema wewe mkuu, maana watu wengine wana narrow mind, nimemwambia kwa uzuri na apology juu lakini anaanza kuleta maneno ya mitaani.. nakupa na thanks mzee
mkuu hata yakwako duuuu!nahisi ametumwa kwamtoro
Big up mkuu, avata yako imetulia kinoma.