sio avatar tu almost dongle zote zinazingua leo siku ya tatu ila nimesikia server ya G1 na azsky ita upgrade soon....so keep waiting man.Jamani hivi hizi dongle za avatar ndio zimefungwa?maana naona taa nyekundu inabring kama kawaida ila haifungui chanel zote ,si dstv wala my tv.anayejua kinaendelea nini anijuze maana sijui kinachoendelea.
Mkuu hawk ya dongle au hawk 7777 classic risiva(hii ni risiva inayotumia sim card)weka wazi.
Yah kuna SW ambayo imetolewa, mimi nimeinunua hiyo SW kwa mshkaji China, nikaapgrade, avata 2 yangu...its working kama mweu, hapa naangalia Atletico Madrid na RSO man....kama ukiwa poa its 70,000/- nakutumia link una-upgrade mwnyweJamani hivi hizi dongle za avatar ndio zimefungwa?maana naona taa nyekundu inabring kama kawaida ila haifungui chanel zote ,si dstv wala my tv.anayejua kinaendelea nini anijuze maana sijui kinachoendelea.
Yah kuna SW ambayo imetolewa, mimi nimeinunua hiyo SW kwa mshkaji China, nikaapgrade, avata 2 yangu...its working kama mweu, hapa naangalia Atletico Madrid na RSO man....kama ukiwa poa its 70,000/- nakutumia link una-upgrade mwnywe
Vp kuhusu hawk 7777 Classic unaweza kupata software yake ya ku upgrade?
mwana umekula peke yako weeee hadi yamekufika ndio unakuja kutuhabarisha?? ....... just jokeMkuu hiyo biashara ya kuniuzia link inafanyikaje?maana ss ndio naihitaji.ni pm pamoja na namba yako ili tufanye biashara ya hiyo software
Tajiri yangu uongo mbaya mimi nimekua nikitumia avatar, so ilipokua inazingua december mwaka jana ndo nikaanza kuifuatilia, baadae ikafunguka yenyewe, ila nikajulishwa mwezi wa pili mwisho...nikajipanga ilipoanza kuzingua mwz wa pili tu...nikawasiliana na jamaa ndo akanitumia nikaapgrade ndo natembea...