mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,398
- 3,252
Habari za hapa. Mwaka jana nilipata tatizo la Autoimmune disease ambapo kinga za mwili zina over react na kushambulia mishipa midogo ya fahamu(nerves).
Kitaalam unaitwa Chronic inflammatory demyelinating polyneuropathy (CIDP).
Wakuu hii hali imenitesa sana almost mwaka mmoja sasa nashindwa kufanya shughuli za kawaida kwa sababu mikono na miguu haifanyi kazi vizuri kama hapo mwanzo.
Nilienda hospital kwa mtaalam wa magonjwa ya mishipa(neurology) akanianzishia dozi ya immunoglobulin mara moja kwa mwezi. Hii therapy imenisaida kidogo kunipa nafuu ila bado ile hali hali inanirudia sometimes.
Wakubwa naomba msaada wenu maana hali ni tete, huu ugonjwa umesababisha nipoteze kabisa furaha ya maisha.
Napata maumivu karibu kila siku.
Miguu inawaka moto, inakufa ganzi sometimes ngozi inawasha na kuchoma mwili mzima.
Naomba msaada wenu wakuu hali tete
Kitaalam unaitwa Chronic inflammatory demyelinating polyneuropathy (CIDP).
Wakuu hii hali imenitesa sana almost mwaka mmoja sasa nashindwa kufanya shughuli za kawaida kwa sababu mikono na miguu haifanyi kazi vizuri kama hapo mwanzo.
Nilienda hospital kwa mtaalam wa magonjwa ya mishipa(neurology) akanianzishia dozi ya immunoglobulin mara moja kwa mwezi. Hii therapy imenisaida kidogo kunipa nafuu ila bado ile hali hali inanirudia sometimes.
Wakubwa naomba msaada wenu maana hali ni tete, huu ugonjwa umesababisha nipoteze kabisa furaha ya maisha.
Napata maumivu karibu kila siku.
Miguu inawaka moto, inakufa ganzi sometimes ngozi inawasha na kuchoma mwili mzima.
Naomba msaada wenu wakuu hali tete