Aucho: Watanzania inabidi wasapoti wazawa na sio ku hype wageni

uhurumoja

JF-Expert Member
Mar 2, 2014
6,284
12,041

Haya ameyasema Leo baada ya Yanga kutangazwa kuwa mabingwa.

Aucho amewashangaa Watanzania kuwashangalia wageni hasa katika mbio za ufungaji Bora na kumuombea Fei asifunge lakini pia amependekeza kumshangilia Mudathir maana naye ni Bora

NB: Binafsi nimeshindwa kumuelewa Aucho kwenye mtizamo wake juu ya ushabiki wa watanzania dhidi ya wachezaji wa kigeni ila duniani kote naona watu wanawashangilia watu pasi na kujali uraia wao.

Kane kachukua kiatu Germany akishangiliwa na Wajerumani
 
Haya ameyasema Leo baada ya Yanga kutangazwa kuwa mabingwa.

Aucho amewashangaa Watanzania kuwashangalia wageni hasa katika mbio za ufungaji Bora na kumuombea Fei asifunge lakini pia amependekeza kumshangilia Mudathir maana naye ni Bora

NB: Binafsi nimeshindwa kumuelewa Aucho kwenye mtizamo wake juu ya ushabiki wa watanzania dhidi ya wachezaji wa kigeni ila duniani kote naona watu wanawashangilia watu pasi na kujali uraia wao.

Kane kachukua kiatu Germany akishangiliwa na Wajerumani
Acha uongo aisee ligi kuu ENGLAND wazawa wanapata nafasi kubwa kwenye media kuliko wageni hata harry kipindi anawania kiatu na lukaku walifanya mauzauza
 
Yanga sio team ya taifa
Kwenye mpira hizi amsha amsha ndio zinaleta Raha Sasa yeye anataka twende kiroboti kufanya Kila kitu sababu ya utz
Hili ni soka mengine yote yakiisha utanzania utabaki palepale
Halafu mbona naona wote huwa wanashangiliwa tena tz tunaongoza kuwapenda watz wenzetu
 
Acha uongo aisee ligi kuu ENGLAND wazawa wanapata nafasi kubwa kwenye media kuliko wageni hata harry kipindi anawania kiatu na lukaku walifanya mauzauza
Boko alikuwa anawania kiatu na Mugalu nasi pia tulifanya mauza uza
Na hata Sasa yanafanyika na uwezekano wa Aziz kuwa mfungaji bora kwa kupambana na Fei ni ngumu juu ya uzawa ila shabiki wa yanga hawezi kuanza kumshabikia fei aliyeko Azam na kumuacha Aziz aliye yanga
 
Haya ameyasema Leo baada ya Yanga kutangazwa kuwa mabingwa.

Aucho amewashangaa Watanzania kuwashangalia wageni hasa katika mbio za ufungaji Bora na kumuombea Fei asifunge lakini pia amependekeza kumshangilia Mudathir maana naye ni Bora

NB: Binafsi nimeshindwa kumuelewa Aucho kwenye mtizamo wake juu ya ushabiki wa watanzania dhidi ya wachezaji wa kigeni ila duniani kote naona watu wanawashangilia watu pasi na kujali uraia wao.

Kane kachukua kiatu Germany akishangiliwa na Wajerumani
Labda hatujui watz, sisi tunaishangilia team na wachezaji wake wotee. Huyo feisal si aliimbwa kuliko hata aziz?? Unaona baka anavyoimbwa uko njee?? Sisi hatulishabikii wala kulishobokea taifa la mchezaji, sisi tunamsapoti mchezaji wa yanga anayeperform ijapokuwa ni mzawa au ni mgeni. Kumbukeni aliimbwa ngasa, akaja msuva, boko na bado watakuja. Aziz angekuwa mchezaji wa ihefu au azam, wala hasingekuwa homa ya jiji
 
Mapato ya wachezaji wa ndani. Walipwe vizuri watajituma.
Kibu kaomba kuongezewa mshahara na signing fee pale Simba Kila mwanasimba anampiga madongo
Wakati Fei kaomba kalalamika malipo madogo Kila mwanayanga aliomba aongezewe pesa ili arudi uwanjani ni hadi aliposema hawezi kurudi yanga hadi engineer aondoke ndio wanayanga wakamgeuka
 
Haya ameyasema Leo baada ya Yanga kutangazwa kuwa mabingwa.

Aucho amewashangaa Watanzania kuwashangalia wageni hasa katika mbio za ufungaji Bora na kumuombea Fei asifunge lakini pia amependekeza kumshangilia Mudathir maana naye ni Bora

NB: Binafsi nimeshindwa kumuelewa Aucho kwenye mtizamo wake juu ya ushabiki wa watanzania dhidi ya wachezaji wa kigeni ila duniani kote naona watu wanawashangilia watu pasi na kujali uraia wao.

Kane kachukua kiatu Germany akishangiliwa na Wajerumani
Kwani huyu Aucho ni Mtanzania? Kwa nini asiseme Mkude apewe nafasi kuliko yeye?
 
Labda hatujui watz, sisi tunaishangilia team na wachezaji wake wotee. Huyo feisal si aliimbwa kuliko hata aziz?? Unaona baka anavyoimbwa uko njee?? Sisi hatulishabikii wala kulishobokea taifa la mchezaji, sisi tunamsapoti mchezaji wa yanga anayeperform ijapokuwa ni mzawa au ni mgeni. Kumbukeni aliimbwa ngasa, akaja msuva, boko na bado watakuja. Aziz angekuwa mchezaji wa ihefu au azam, wala hasingekuwa homa ya jiji
Huu ndio ukweli ninao ujua na kama tungefata uzawa basi waziri junior angefaa kuwa shujaa
Mbangula aliwafunga Simba mechi muhimu sana tukamuimba hadi Leo
 
Au lile semaji limeamua kufungua thread
Fatilia hiyo interview yake you tube sema katumia kingereza usipoelewa utaniambia nikutafsirie
 

Attachments

  • Screenshot_20240526-064528.jpg
    Screenshot_20240526-064528.jpg
    447.5 KB · Views: 3
Kibu kaomba kuongezewa mshahara na signing fee pale Simba Kila mwanasimba anampiga madongo
Wakati Fei kaomba kalalamika malipo madogo Kila mwanayanga aliomba aongezewe pesa ili arudi uwanjani ni hadi aliposema hawezi kurudi yanga hadi engineer aondoke ndio wanayanga wakamgeuka
Hakuna tatizo Kibu kuongezewa mshahara. Anajituma na inawezekana akafanya vizuri sana msimu ujao.
 
Back
Top Bottom