Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,467
- 7,258
Nyetk.....habari hii imechukuliwa kama ilivyo!! Mie kwa mtazamo wangu ndhani jamaa alikuwa kwenye ibada!!
Inawezekana dogo alikata kuinama[weni nabii washetan?Usilete midhaha kwnye tukio km hili!
Aisee kumbe wanayafuga.Chapter (51) sūrat l-dhāriyāt (The Wind that Scatter)![]()
And I did not create the jinn and mankind except to worship Me
QURAN 51:56 Nami sikuwaumba Majini na Watu ila kuniabudu mimi
Hawa washkaji hii mifugo wanayoifuga ambayo hiyo sura imewapa uhalali kwamba ni viumbe boora kabisa inawatuma vibaya